much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Ukiendekeza uchawa mwishoe utakuja weka marinda yako reheni kisa teuziWe deal na mtoto wako usichukue ujumuishi wa wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiendekeza uchawa mwishoe utakuja weka marinda yako reheni kisa teuziWe deal na mtoto wako usichukue ujumuishi wa wengine
Ummy hamna kitu pale. Mh Rais aache kupambwa na maneno ampe mtu mwenye uelewa aongoze wizara.Kwa kweli. Kwanza walianza na kuondoa utaratibu va zile fomu za bima za njano za kuchukulia dawa nje ya hospitali kwa zile dawa ambazo hospitali hakuna...
Wizara imeingiliwa na makatili.Na kuna kipindi walitaka kuwaondoa wazee tegemezi kwenye matibabu ya bima mbona palichimbika ndiyo wakajidai ooh siyo kweli tulikuwa tunafanya maboresho. Naona sasa wamehamia kwa watoto. Huu ni ukatili kwa watoto ni kinyume na sheria ya mtoto kila mtoto ana haki ya kupata matibabu ili aisha.
Wanasema kuwa mzazi mwenye watoto 4 alikua anakatia yule mgonjwa pekee na wengine akiwaacha, kupitia mfumo huu wazazi na watoto wote wataungwaWaliokatiwa hiyo bima ni watoto 217,000 pekee
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app....
Umasikini mpaya sana.Yan kati ya watoto million 30 waliosajiliwa na bima ya afya n laki mbili lakin serikali imeshindwa kuwahudumia....hii serikali haiwezi kuwa serious...wakat kuna viongozi wanaenda kutibiwa nje gharama inawezafika ata million 100+..kwa mtu mmoja.
Hakuna bima ya mtoto, mtoto anatakiwa ajumuishwe kwenye familia.Mpango tajwa haujafutwa bali umefanyiwa nabadiliko. Badala ya kulipa 50,400/- watoto watakuwa wanalipiwa 120,000/-.
Hio no taarifa ambayo haijathibitishwa rasmi na NHIF.
Wao walijuaje hilo.Wanasema kuwa mzazi mwenye watoto 4 alikua anakatia yule mgonjwa pekee na wengine akiwaacha, kupitia mfumo huu wazazi na watoto wote wataungwa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wanajitetea kuwa walianza wao kuona kama itasaidia ila wamegundua gharama ni nyingi zaidi ya 600%Kabla ya kufanya jambo lolote inatakiwa wawashirikishe wadua siyo wanakurupuka na kuja na ideas zao kutoka google search.