Makadirio ya idadi ya watoto chini ya miaka 18 ambao ni asilimia 31 ya watanzania wote
Idadi ya watoto = idadi ya watanzania X 31%
= 60,000,000 X 31%
Idadi. = 18,600,000
Tutoe watoto wa waajiriwa
Makadilio waajiriwa rasmi sekta binafsi na serikali ni 1,000,000.
Kila muajiriwa maximum watoto 4, so hapo ni sawa na watoto milion 4 wapo kwenye bima za wazazi wao waajiriwa.
Kwaiyo kupata idadi ya watoto wasio na wazazi waajiri ni sawa sawa na
= 18,600,000 - 4,000,000
= 14,600,000
Kwaiyo katika watoto 14,600,000 walikatiwa bima ya TOTO AFYA ni 217,000 tu ambayo ni sawa na asilimia 1.4 ya watoto wasio na wazazi waajiriwa.
Kwaiyo kuamishwa kwa mnufaika ambaye ni mtoto kwenda kwenye vifurushi vingine vya bima,
je itasaidia idadi ya watoto wanufaika kuongezaka?
Au ni mpango wamajaribio, ambao unaonesha dhahiri kwenda kugonga mwamba.