Maoni ya wadau wa JamiiForums juu ya kusitishwa kwa Bima ya TOTO AFYA KADI

Mahesabu yako ya uongo sijawahi ona duniani.
 
Kama 50,400 ilikuwa ni bei rahisi basi wangeongeza gharama kuliko kuifuta kabisa.

Serikali imeshindwa kuangalia jambo la msingi na kuhakikisha wananchi Wanapata uhakika wa matibabu.
Afya ndio Kila kitu...
Maoni hayo niya menejimenti ya wizara ya afya wakiongozwa na Ummy
 
Serikali ilenge kujali afya za watanzania na sio kufanya biashara kupitia afya na matatizo ya watanzania, hii haikubaliki, watoto wa masikini watapata wapi huduma za matibabu kama munakuja na maamuzi ya namna hii?????????????
 
UMMY MWALIMU UNAPASWA KUWAJIBIKA KWA HILI, MBONA MAWAZIRI WENZIO WOTE WALIOKUTANGULIA HAWAKUWAHI KUFANYA JAMBO LA AJABU KAMA HILI??
 
Hivi hakuna kampuni binafsi zinazotoa bima ya matibabu tukiachana na hawa NHIF? Ni bora nikawanufaishe hao na sio hawa walamba asali
 
UMMY MWALIMU UNAPASWA KUWAJIBIKA KWA HILI, MBONA MAWAZIRI WENZIO WOTE WALIOKUTANGULIA HAWAKUWAHI KUFANYA JAMBO LA AJABU KAMA HILI??
Wabunge wampigie kelele kama alivopigiwa kelele Ndugai akabwaga manyanga
Ummy ni janga. Eti kuna waliochanganyikiwa walikua wanasema anaupiga mwingi anafaa kua waziri mkuu.
Ummy nikifafa
 
Hivi hakuna kampuni binafsi zinazotoa bima ya matibabu tukiachana na hawa NHIF? Ni bora nikawanufaishe hao na sio hawa walamba asali
Bora wangeanzisha makampuni ya bima za afya kuliko huu uozo wao
 
Wakuu nimefikiria kwa kina sana kuhusu kusitishwa kwa huduma hii ya toto afya kadi kwa muda ili kupitisha marekebisho.

Kanza naipongeza serikali kwa huduma hii nzuri na mwokozi kwa watoto wetu, kiwango cha 50,400 kilipunguza sana mzigo kwa wazazi hivyo kuwapa wazazi na walezi nafasi ya kufanya mambo mengine ya maendeleo zaidi, huku afya za watoto wao zikiwa na dhamana madhubuti.

Binafsi nimeshuhudia mara nyingi watoto wakiokolewa maisha kwa hii kadi.

Sasa juzi serikali imetangaza kusitisha kwa muda hii huduma kwa kisingizio kufanya marekebisho fulani, binafsi nasema huu ni uongo. Kwenye issue muhimu kama ya afya unafanya total shut down ya service hii issue sio poa.

Najiuliza ni marekebisho mangapi huwa yanafanyika huku huduma inaendelea? Mfano mifumo ya TRA serikali huwa haisemi jamani msilipe kodi tunarekebisha mifumo, system zingine nyingi huwa wanafanya maboresho while huduma zinaendelea, iweje kwa hawa watoto ambao ndio taifa la kesho?

Wito wangu kwa serikali; tafadhali fungulieni hii huduma, watoto wapate tiba, fanyeni maboresho huku huduma inaendelea, kuna damu itawalilia hapa.

Ni hayo tu.
 
Serikali ilikuwa inatumia gharama kubwa sana kwenye toto afya kadi, hela zenyewe za mkopo mana kukusanya hawawezi, wameamua wakimbie
 
Hakuna Mtu wa kutetea watu wajinga msiokuwa na Huwezo wa kuiwajibisha Serikali.
 
Pamoja na tozo zote wanazotoza bado wanashindwa kuweka mfumo rafiki wa bima ya afya kwa watu masikini.
Awamu hii ni usenge mtupu tatizo letu pia watanzania ni waoga sanaaaa tuamke Sasa hivi hatuna mtetezi siyo chadema siyo CCM act wote ni walewale wanaendelea kumkata viumo huku dj kauzima mziikii nawachukiaaaaaaa!!!!!!
 
Watanzania na kujikusanya mitandaoni kulalamika kila siku sijui itaishia wapi!
Serikali kila siku itaamka na kufanya itakacho kwasababu vitu vidogo mnasahau ya msingi.
Hili ni jambo la ngapi la msingi kulalamikiwa mwaka huu?
Umeongea kweli mkuu inabidi tuachane na huu uboya tukae road kmmmk mbwai mbwai hawa manyanga'au watatuzoea vibaya yaani wanajifanya kututangazia amani huku wametushikia mapanga daah!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…