Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

Wakuu hii ni aibu hasa ukitilia maani TBC1 ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zetu.
 
Wadau salam,nimesikitishwa sana na kitendo cha tbc kukatisha urushaji wa hotuba ya mh. tundu lissu leo bungeni... naombeni kwa yeyote aliyeirekodi aiweke humu tuione kwa kina.

ahsanteni.
 
aitishe press conference asome tena hotuba yake in full

TBC haiwezi kushindana na dunia ya whatsapp na youtube
 
Wakuu hii ni aibu hasa ukitilia maani TBC1 ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zetu.
Hivi TBC umehasi sikia mtu mtu mwenye maana..wote huwa mimacho inawatoka..wanabrush tuu program zao..ktk interview wao ndio wanaulizwa maswali si wao wanauliza,ila wao ndio wanaulizwa..yaani hao jamaa ni vihiyo ..wasioona mipaka ya ya TBC na ccm.Wote wanasubiri kupata ubunge..na ukuu wa wilaya.
 
Hivi hakuna namna ambyao tunaweza hack hizo CCTV au tukaweza zetuili tuwe tunapata matangazo jamani, kwasababu huu UPUUZI wa TBC umenichosha sasa
 
wamezoe vya kunyongwa vya kuchinjwa hawawezi
Sura nzito mboma boy a tu?kweli wajinga ndio waliwao. Da ata MTU asiye na mvuto wa siasa naye anapendwa kisiasa. Chadema bila Zitto hakuna kitu
 

Attachments

  • Tundu+Lissu.jpg
    Tundu+Lissu.jpg
    24.2 KB · Views: 139
Kama Taifa sasa imefikia mahala hata wasomi wa kuheshimiwa, maprofesa, madoctor, wanasheria n.k, uccm umewafanya elimu zao kuwa si chochote tena na wasio na thamani tena. Kama msomi anaweza fikia mahala akakana alichoandika mwenyewe basi tunakaribia kuingia gizani. Mtu mzima na msomi analazimishwa kukana matamshi yake mwenyewe? TBC ni shirika la Taifa ambalo linatuchagulia nini cha kusikiliza , au kutizama, kwa taifa lenye zaidi ya miaka 50 tangia uhuru. Lisu amekatizwa wkt watanzania wakifuatia hotuba ya lisu, ktk dunia ya technology ya habari si wkt wa kukatiza matangazo kwa yule anayekosoa.
 
Inasikitisha sana,Hii ni baada ya lissu kuja na ushahidi wa kutokuwepo hati za muungano.Brilliant LISSU....!!

utafiti kutoka kwenye vyanzo huru unadokeza kwamba THE BEST TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUTOKEA EAST AND CENTRAL AFRICA TANGU MUNGU ALIPOUMBA MBINGU NA ARDHI !
 
Mkuu, Tundu Lissu haitesi Serikali wala yeyote yule. Tundu anayo kazi moja tu na huwa anaifanya kwa ustadi mkubwa bila ubabaishaji wala makosa ya kiufundi nayo sio nyingine bali KUMGONGA NYOKA KICHWANI. Halafu mbaya zaidi jamaa hana hata chembe ya huruma linapokuja suala la kumuua nyoka. Ha ha ha!
 
Baada ya hotuba ya Tundu Lissu kukatiwa matangazo na TBC, haya ndiyo aliyoandika Maria Tsehai katika ukurasa wake wa Facebook.

Leo nampongeza mwenyekiti wa bunge maalum la katiba Samwel Sitta kwa kusitisha uwasilishaji wa Tundu Lissu na kuahirisha kikao hadi jumatatu kutokana na matangazo ya TBC kukatika. Mwenyekiti alisema makubaliano ya bunge na TBC ni kuwa wananchi wataona moja kwa moja mjadala hivyo ametangaza kuwa ufafanuzi wa Lissu utaendelea saa 3 asubuhi na irushwe TBC. Nampongeza sana Sitta kwa kuelewa umuhimu wa uhuru wa kutoa na kupata habari. Freedom to information is a RIGHT ..
 
Yaani wanatufanya mie wapumbavu yao tuyasikie yetu tuyatafutie mtandaoni..
 
Nikimsoma kwa umakini Lissu nasema Nyerere aliudanganya umma wa Watanganyika. Kumbe hata hati ya Muungano hakuna, sasa kwanini aliung'ang'ania?
 
natamani sana nimwone tena Lissu akishusha ndondo! Kile kichwa ni shida sana kwa Maccm!
 
Mkuu, Tundu Lissu haitesi Serikali wala yeyote yule. Tundu anayo kazi moja tu na huwa anaifanya kwa ustadi mkubwa bila ubabaishaji wala makosa ya kiufundi nayo sio nyingine bali KUMGONGA NYOKA KICHWANI. Halafu mbaya zaidi jamaa hana hata chembe ya huruma linapokuja suala la kumuua nyoka. Ha ha ha!

Naona leo kanifanyia kazi njema sana, kaanza kwa kumgonga Nyerere kichwani.

Hapo sasa!
 
mwagavumbi11 pole sana
jadili mada mkuu usiseme watu hata mwenyekiti wa bunge la katiba anasisitiza hilo jadili mada
hapa hatupo kwenye uccm na uchama
 
Back
Top Bottom