Mathias Lyamunda
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 1,369
- 559
Tundu Lisu yuko networked kwenye hii dunia huwezi kumdanganya CHOCHOTE.. Lazima mjue alikuwa mwanaharakati kabla ya kuwa Mbunge na ni international activist...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nnakula kiti moto na mama'ko wala si kinyemela wewe si ndio huwa unatukatia.
Hebu soma ulichokwaruza wewe ndio urudi kujibizana na mimi. Mnaambiwa mmalize dozi zenu za mirembe mnatorokaHujui hata kuandika , utaweza je kuelewawa mambo yaliyokuzidi afya na kimo?
Ndio mlitaka TBC ioneshe haya maneno yenu mbele ya watoto wetu....nononono
Ccm ni majanga,HAKUNA HATI YA MUUNGANOOOOOOOOOOOO,hapana chezea Tundu Lissu
Huwa nnakula kiti moto na mama'ko wala si kinyemela wewe si ndio huwa unatukatia.
Nimeshasema na nnarudia tena, kila anaeponda fikra za Nyerere, mojawapo ni hii ya Serikali mbili feki, mimi nipo nae. Na Lisu yupo katika orodha ya wanaoponda fikra za Nyerere na leo kamuita muongo, mwaka 68 kaongea mengine na akaja akatenda mengine kwa kumfunga, Jumbe na wengineo. Hujamsikia Lisu alikuita Nyerere Muongo?
Leo Lissu amesema yale nnayoyasema mimi kila siku humu JF, kuwa Nyerere ni muongo, sasa mshambulieni na yeye.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, TBC au aliyetoa amri TBC wazime mawasilisho ya Tundu Lissu hakutenda haki hata kidogo, labda iwe ni technical fault, tutapata hansard, walioko huko turushieni mawasilisho ya Lussu, alikuwa anaongea vizuri sana.
Leo mimi nipo na wote wanaomponda Nyerere kwenye huu mchakato, fikra za Nyerere siyo tu zilikuwa mbovu zimetuondolea Utaifa wetu, iweje leo nchi moja iwe na Utaifa na moja nchi nyingine Utaifa wake ufe? kwa kuwa tu Nyerere ndio kataka hivyo?
Inasikitisha sana,Hii ni
baada ya lissu kuja na ushahidi wa kutokuwepo hati za
muungano.Brilliant LISSU....!!
Zitawekwa baadae kwani sasa cd zinaandaliwa na jua CCM wanataka kuwanyanganya waandishi zile Temu zao waizorekodi ili kufichua ukweli wa mambo ....vuta subira kidogo.Bado kuna mambo hujaweka hapa ambayo alisema ni ushahidi wa kutokuwepo kwa muungano na kutopelekwa kwa hati ya muungano UN. NA KATIKA HILI ALISEMA ANA USHAHIDI KWA HOJA ZISIZO PINGUWA NNE.
Ningependa mambo hayo yawekwe hapa na ningependa kusikia majibu yake kutoka kwa serikali.
Mwenye hoja zile nne aziweke hapa. mkuu 2chabruma tusaidie kuziweka hapa hata kwa audio.
cc Chabruma buchann
Da hawa tbc ni ccm nini