eti dr kikwete! no wonder alikacha mdahalo wakati wa kampeni za uchaguzi 2010! washabiki wake wote ni wale wababaishaji na wanafiki kama akina samweli sitta, Buchannan, Mwigulu Nchemba, and the like![/
QUOTE]
Tundu Lisu ni noooooooooomaaaaaaaaa ni hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ana nondo za baraaaaaaaa mavi Tbc yamewatoka hadi wamesitisha matangazo yao Bungeni.Lisu kaivua hadi chupi serikali ya ccm na hitimisho kumbe hakuna hati ya muungano popote pale duniani.Ccm na kikwete aibu ya mwaka hiyo teeeeena.