Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

NB; huwezi kutatua tatizo hadi ujue chanzo cha tatizo!
 
Serikali yetu ni ya kupotosha umma ili iendelee kutawala kwa faida ya viongozi na sio wananchi. Transparency haipo kabisa Tz.
 
Faizafox leo roho mtakatifu amekushukia, kweli ukijua kweli na itakuweka huru. Haya maccm huyo mwenzeni ana laani kitendo cha tbci kukatisha hotuba ya mh. Tundu lissu.
siamini ndo wewe au akaunt yako imekua hacked hebu sema kitu tujue ni wewe maana ajuza wewe akina lissu na wengne ni kama vile unavyokula kiti moto kinyemela
 
Kwa kweli ni aibu kubwa kwa TBC. Kuanzia leo nimejua kuwa TBC inafanya kazi kwa matakwa YA CCM. Mnakatisha matangazo ili watanzania tusione mwawasilisho ya kambi ya wachache inayowasilishwa na Nguli Tundu Lissu. SHAME ON YOU.

Walivyokuwa wajinga wakaanza kufuta vichwani mwa watazamaji ule ufafanuzi na ushahidi wa nondo za Lisu kwa kuweka cd ya hotuba ya Jk ile ya ufunguzi wa bunge la katiba,
 
Inasikitisha sana,Hii ni baada ya lissu kuja na ushahidi wa kutokuwepo hati za muungano.Brilliant LISSU....!!

Ndio hivyo mkuu!TBC ipo kwaajili ya Magamba sio chombo cha wananchi wa Tanzania. Nilikuwa nasikiliza kupitia WAPO Radio nao wamekatisha Matangazo wakati Lissu anaendelea kutoa ushahidi wa kutokuwepo hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Lissu si Jembe tu bali Kiboko ya Magamba.
 
Hahahah!ukweli haufichwi kwa uongo hata siku moja!kelele,uongo na porojo zote zimefifishwa ndani ya dakika nane tu!mpaka tbc,star tv na radio zao kuamriwa kukata matangazo!ila hii ni karne ya science na teknolojia,labda mtu mjinga tu ndio ataamini kuzima matangazo ilikua ndio dawa
 
kitendo walichofanya tbc ni cha kulaaniwa.. tundu lisu kama mtanzania ana haki ya kutoa maoni yake...tbc ni janga la taifa
 
I will b glad kupata hicho alichokisema Lissu.. Nilikuwa mbali na tv
 
Mwakyembe kabla hajawa kiongozi wa ccm alikubaliana na anachounga mkono kukipinga leo, serkali tatu alizopendekeza wakati wa research yake ya udhamili leo hataki.

umeona mkuu! ccm wameharibu wasomi wetu, si maprof tena, si madr tena, wameaki garasa! eti profesor anatunga kitabu kwenye mambo makubwa kama hadithi za riwaya! inaonyesha hawa jamaa ni wapika data!
 
Ameandaa uzushi na kuusoma, haya ni maoni yake sio maoni ya kamati
 
Back
Top Bottom