Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,109
Unauliza nini na wewe..!?
mnyambala habari ya siku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza nini na wewe..!?
Hak'ya nani Tundu Lissu ni kiboko, no wonder mkw.ere alisema ni mara mia Slaa awe raisi kuliko Lissu kuwa Mbunge.
Hii ni aibu kubwa kwa Serikali kuogopa kusikia ukweli unaosemwa na mwakilishi wa wananchi,
aibu sana, ila ukweli haufichiki milele umefika wakati wa Watanganyika kudai nchi yao.
Ukizoea kunyonga.....!Mwakyembe kabla hajawa kiongozi wa ccm alikubaliana na anachounga mkono kukipinga leo, serkali tatu alizopendekeza wakati wa research yake ya udhamili leo hataki.
Mwakyembe kabla hajawa kiongozi wa ccm alikubaliana na anachounga mkono kukipinga leo, serkali tatu alizopendekeza wakati wa research yake ya udhamili leo hataki.
Hak'ya nani Tundu Lissu ni kiboko, no wonder mkw.ere alisema ni mara mia Slaa awe raisi kuliko Lissu kuwa Mbunge.
eti dr kikwete! no wonder alikacha mdahalo wakati wa kampeni za uchaguzi 2010! washabiki wake wote ni wale wababaishaji na wanafiki kama akina samweli sitta, Buchannan, Mwigulu Nchemba, and the like!
Mwakyembe katoa macho hakujua watu watakuja na nondo zake.!!Mwakyembe kabla hajawa kiongozi wa ccm alikubaliana na anachounga mkono kukipinga leo, serkali tatu alizopendekeza wakati wa research yake ya udhamili leo hataki.
Hivi kwanini TBC walipewa exclusive right ya kurusha matangazo ya bunge?