Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

*Ndugu zangu Habari
Siku hizi kumekuwa na muendelezo wa watu kuwa tagged na video za ngono kwenye mtandao wa Facebook.

Jambo hili limezua sintofahamu miongoni mwa jamii baada ya kuona picha na video zisizo na staha kwa mtu mwenye heshima zake,

Ili kuepuka kuwa tagged kwa video au Picha chafu, fanya yafuatayo:-
👇🏽👇🏽

🖊️Ingia kwenye Settings ya Facebook Account yako kisha nenda Audience and Visibility halafu nenda Profile and Tagging.

🖊️Ukishafika hapo Profile and Tagging utakuta kuna machaguo mawili la kwanza linahusu Viewing and Sharing.

🖊️Kwenye 'Who can post on your profile' chagua 'Only Me' vivyo hivyo kwenye 'Who can see what others post on your profile' chagua 'Only Me.'

🖊️Pia, kwenye Tagging lile chaguo la kwanza lililoandikwa, 'Who can see posts you're tagged in on your profile' chagua 'Only Me'.

🖊️Aidha, pale kwenye option ya 'When you're tagged in a post, who do you want to add to the audience of the post if they can't already see it' napo chagua 'Only Me.'

Baada ya hapo account yako itakuwa Safe from being tagged

Sharing is caring.
Mfahamishe na mwenzako.
🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️
 
Prayers for Parents
Dear God, I pray that you bless my parents with financial stability and security.

They work hard to provide for our family, and I know that their efforts are not always easy. Please help them to manage their finances wisely and provide for our family's needs. Give them the ability to save for the future and make wise decisions for our family. Thank you for giving me parents who work hard to provide for us, and I ask that you continue to bless their efforts always.

In Jesus' name, we pray. Amen.
Bible Verses to Read:
Exodus 20:5
you shall not bow down before them or serve them. For I, the LORD, your God, am a jealous God, inflicting punishment for their ancestors’ wickedness on the children of those who hate me, down to the third and fourth generation;

- Sent from BitBible English App
 
Ninaamini
1710328685628.png
 
Saa ya mwisho ya JPM

"Siku moja kabla ya kifo chake hali ilibadilika kidogo na yeye alijitambua kwamba hali imebadilika, na nadhani alijua Mwenyezi Mungu alimuongoza kwamba hatapona alichosema nirudisheni nyumbani nikafie nyumbani nikasema mheshimiwa hapana hapa upo kwenye mikono salama madaktari wapo waendelee kukutibu"

"Niseme jambo moja ambalo halikuwahi kusemwa huko nyuma kwa sababu nilikuwepo pale aliniita CDF (Mkuu wa Majeshi) njoo akaniambia siwezi kupona ,waamuru hawa madaktari wanirudishe nyumbani nikamwambia mheshimiwa sina mamlaka hayo, akasema yaani CDF unashindwa kuwaamuru madaktari wanirudishe nyumbani, nikamwambia suala la afya siyo la CDF mheshimiwa naomba ubaki utulie madaktari watatuambia"

"Alipoona kwamba nimekuwa na msimamo huo akaniambia niitieni paroko wangu, Paroko wa St.Peters Father Makubi lakini akaongeza akasema namuomba Kadinali Pengo naye aje hiyo ni asubuhi sasa tukamtafuta Pengo alikuwa kwenye ibada hakupokea, akaniuliza CDF haujampata Pengo? nikamwambia yuko kwenye ibada baba atakapotoka atakuja, kwahiyo wakaja wote Kadinali Pengo na Father Makubi sasa katika taratibu za kikatoliki wanamsalia ibada na kumpa sakramenti ya upako wa magonjwa aliyekuwa katika hatari ya kufariki"

"Walipomaliza kumsalia akapumzika lakini ilipofika saa nane mchana wakatupigia watu wa hospitali wakanipigia mimi kama Mkuu wa Majeshi, wakampigia DGS na IGP wakatuambia hali ya mheshimiwa siyo nzuri sana hebu njooni, tukaenda tukamkuta ametulia lakini alikuwa hawezi kuongea tena, tukawaita madaktari wengine, nakumbuka tulimuita Profesa Maseru, Profesa Janabi alikuwepo muda wote kwa hiyo yule aliongezea nguvu wakajaribu kumuangalia, tukaendelea kukaa mpaka jioni, ikafika jioni saa kumi na mbili na nusu hivi au saa moja kasoro akakata roho, tukiwepo wakuu wa ulinzi wa vyombo watatu mimi (CDF), IGP na DGS"-Mkuu wa Majeshi mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo.

Jenerali Mabeyo ameyasema hayo katika mahojiano yake na Mwandishi wa habari wa Daily News Digital ikiwa ni kumbukumbu ya kifo cha Rais Dkt.John Magufuli aliyefariki dunia tarehe 17.3.2021.

JAMBO TV
 
Morning Reflection (QT)
Introduction
Moses receives instructions for a “sabbatical” year that is to be dedicated to the LORD. He also receives instructions for observing the Year of Restoration, the fiftieth year, which occurs at the end of seven 7-year cycles, a time when property is to be restored to the original owners.
Reflection
The year of rest (seventh year) was intended to help the soil regain some of the nutrients lost in the previous growing season. Is it important to follow this practice today? What does the LORD promise (verses 18-22)? Envision what life would be like today if all nations observed the Year of Restoration (also known as a Jubilee year). What would be the benefits? Are there obstacles that prevent this from taking place?
Pray
Creator God, teach me to be a good steward of the earth. The whole earth belongs to you, and I praise you for your wondrous creation.

In Jesus' name, we pray. Amen.
Leviticus 25:1-22
Leviticus 25:1
The LORD said to Moses on Mount Sinai:
Leviticus 25:2
Speak to the Israelites and tell them: When you enter the land that I am giving you, let the land, too, keep a sabbath for the LORD.
Leviticus 25:3
For six years you may sow your field, and for six years prune your vineyard, gathering in their produce.
Leviticus 25:4
But during the seventh year the land shall have a sabbath of complete rest, a sabbath for the LORD, when you may neither sow your field nor prune your vineyard.
Leviticus 25:5
The aftergrowth of your harvest you shall not reap, nor shall you pick the grapes of your untrimmed vines. It shall be a year of rest for the land.
Leviticus 25:6
While the land has its sabbath, all its produce will be food to eat for you yourself and for your male and female slave, for your laborer and the tenant who live with you,
Leviticus 25:7
and likewise for your livestock and for the wild animals on your land.
Leviticus 25:8
You shall count seven weeks of years—seven times seven years—such that the seven weeks of years amount to forty-nine years.
Leviticus 25:9
Then, on the tenth day of the seventh month let the ram’s horn resound; on this, the Day of Atonement, the ram’s horn blast shall resound throughout your land.
Leviticus 25:10
You shall treat this fiftieth year as sacred. You shall proclaim liberty in the land for all its inhabitants. It shall be a jubilee for you, when each of you shall return to your own property, each of you to your own family.
Leviticus 25:11
This fiftieth year is your year of jubilee; you shall not sow, nor shall you reap the aftergrowth or pick the untrimmed vines,
Leviticus 25:12
since this is the jubilee. It shall be sacred for you. You may only eat what the field yields of itself.
Leviticus 25:13
In this year of jubilee, then, each of you shall return to your own property.
Leviticus 25:14
Therefore, when you sell any land to your neighbor or buy any from your neighbor, do not deal unfairly with one another.
Leviticus 25:15
On the basis of the number of years since the last jubilee you shall purchase the land from your neighbor; and so also, on the basis of the number of years of harvest, that person shall sell it to you.
Leviticus 25:16
When the years are many, the price shall be so much the more; when the years are few, the price shall be so much the less. For it is really the number of harvests that the person sells you.
Leviticus 25:17
Do not deal unfairly with one another, then; but stand in fear of your God. I, the LORD, am your God.
Leviticus 25:18
Observe my statutes and be careful to keep my ordinances, so that you will dwell securely in the land.
Leviticus 25:19
The land will yield its fruit and you will eat your fill, and live there securely.
Leviticus 25:20
And if you say, “What shall we eat in the seventh year, if we do not sow or reap our crop?”
Leviticus 25:21
I will command such a blessing for you in the sixth year that there will be crop enough for three years,
Leviticus 25:22
and when you sow in the eighth year, you will still be eating from the old crop; even into the ninth year, until the crop comes in, you will still be eating from the old crop.

- Sent from BitBible English App
 
"Wakati anafariki (Hayati Magufuli), Makamu wa Rais (wakati huo na Rais wa sasa) Mhe. @SuluhuSamia alikuwa mkoani Tanga, Katibu Mkuu kiongozi alikuwa Dodoma na Waziri Mkuu alikuwa mkoani pia. Tuliwapigia Waziri Mkuu na Katibu Mkuu kiongozi kuwaomba waje haraka Dar es Salaam bila kuweka wazi sababu ya kuwaita. Walipofika niliwaweka wazi kuwa Mhe. Rais (Hayati Magufuli) ameshafariki, tukaanza kushauriana tunafanyaje, nani anapaswa kutangaza habari hizi katika vyombo vya habari ili wananchi wajue. Na pia tukaanza kutafuta katiba kuona inasema nini, mtu pekee anapaswa kutangaza kwenye vyombo vya habari ni Makamu Rais na wakati huo alikuwa Tanga, yalifanyika mawasiliano mengine akiwa Tanga ili ajulishwe. Lakini pia familia yake ilikuwa haijui na iko hapa Ikulu Dar es Salaam na haijaambiwa na mama yake yuko Chato na hatuwezi kumwambia kwa simu, nani anakwenda kumwambia mama Magufuli, ili kabla ya kutangazwa wao wajue na wasipate taarifa kupitia vyombo vya habari. Tuliwapata watu kwenda Ikulu na mwingine kwenda Chato kwa kutumia charter plane (ndege maalum). Ndio maana uliuona alifariki saa 12:30 jioni na tukachelewa kutangaza, hadi kuja kutangaza saa 5 usiku" Jenerali Mstaafu Venance Mabeyo, Mkuu wa Majeshi Mstaafu wa Tanzania
 
Hoja za @HusseinBashe baada ya kelele mitandaoni kuhusu chakula cha msaada

-- Bashe anasema USDA wanatakiwa kutoa fedha kwa wakulima wa Tanzania, je USDA ina hiyo program ya kutoa fedha kwa wakulima hasa kutokana na same source ilileta chakula

-- Bashe amesema kuna NGOs imeleta hicho chakula, ambacho kimetoka USDA , hiyo NGO lazima imeshirikiana na serikali kwenye masuala ya Kodi na pia ruhusa kupeleka chakula shuleni, wizara zifuatazo zinahusika , Kilimo kutoa barua na vibali, fedha kutoa msamaha wa kodi, Elimu kutoa vibali chakula kwenda shule na kutengeneza program ya vyakula , TBS kutoa vibalia vya UBORA
-- Kwa nini Bashe naongelea virutubisho kwenye chakula kama hawakuangalia mchele umevukaje mipaka ? umeingia vipi bila ruhusu la TBS ? kama kuna ruhusu kwa nini waziri analeta swali ili gumu na hatari kuhusu usalama wa watoto wetu na chakula hiko? Ubalozi umesema mchele unavirutubisho kusaidia watoto ina maana kweney MoU ili suala lipo kwa nini serikali inakata au kutaka kuleta lawama kwa NGO iliyoingiza huo mchele ?

-- Bashe anataka USDA kuwapatia wakulima nchini fedha walime maharage, Banki Ya Mkulima nchi imefanya issue gani? baada ya kununua makorosho miaka iliyopita kuna program gani za kusaidia hao wakulima walime hiyo michele, maharage na nafaka nyingine kwa ajili ya mashule ?

-- Bashe anataka kujenga mazingira kwamba hiki chakula kinauzwa wakali ni Bure, sisi tumepokea kama msaada wa CHAKULA kutoka kwa wakulima wa Marekani hii sio lazima wakulima wa marekani wawe na fedha za kupatia wakulima wa Tanzania, ila inaweza kutokana na ufanisi wao wa kuzalisha kwa heka hivyo sehemu ya hicho chakula ni rahisi wao kukitoa kama chakula cha msaada na wakapata misamaha ya kodi nchini kwao, Kwa marekani kwa kadri unavyotoa misaada unapata misamaha mikubwa ya kodi, Kwa nini waziri Bashe akuchukunguza mfumo wa kodi wa marekani kabla ya kuja kuongea vifu kwa wepesi na kuonekana ni mwepesi kwenye wizara? sio mara zote misaada inatoka kwa mtu mwenye fedha mkononi, misaada kutoka mataifa makubwa inaweza tokana na motisha za kifedha kwa shirika husika au mtoa msaada ila sio kwamba mtoa msaada anakuwa na hela mkononi kama waziri alivyokurupuka na kuja kudhalilisha kiti chake , kwamba tupewa pesa tupeleke kwa wakulima wa kitanzania, kufikiria kwa namna hii ni hatari sana

-- Marekani iko sahihi kuleta mchele kama tumekubaliana nao na kama tumekubaliana na ubora wa mchele husika sababu wakulima wao wanazaliza kwa wingi kwa hela, ukilinganisha na wakulima wetu, mchele unaokwenda mashule hauna athari zozote kwa soko la wakulima wa Tanzania sababu mchele ni wabure kwa chakula mashuleni, kwa kiwango kikubwa hakuna chakula kwenye shule nyingi nchini hasa za msingi, kuzungumzia wakulima kwenye suala ili ni siasa za udanganyifu tu, ni kujaribu kuchonganisha

-- Serikali ya Tanzania inatakiwa kufanya tafiti ya mbegu bora, kupambana na athari wanazopata wakulima wanapofanya hii shughuli, mafano tumeshindwa kuwa na solution cheap za kufukuza ndege kwenye mazao ya mpunga, mtama na ngano , wakulima wanafukuzana na ndege kama wendawazimu hivyo kupoteza asilimia kubwa sana ya mavuto kwa ndege, hata hii solution hakuna , achia mbali suala la mbegu hilo la ndege ni issue, tumeshindwa kuwa na mbolea zinazoendana na udongo kwenye maeneo mbalimbali, ofisi za maafisa kilimo zina watu wa Darasa la 7 mpaka leo mambo ya aibu kabisa haya, kuna vijiji afisa kilimo amepitwa na wakati unakuta anapambana na wakulima wenye heka 1000 anawaelekeza wa kushinikiza wafanye ujinga, hawajui kilimo cha kisasa

KAMA BASHE utatatua changamoto za wakulima na kuondoa fikra za kuomba USDA wakupatia hela utakuwa umefanya suala bora sana

Mwisho, Nakushauri wizara yako itafuta soko la mayai na nyama za kuku nje ya nchi, kuna soko kubwa nje ila kufikiwa na wafuga kuku ni issue, sio wote wenye kuweza hilo, kuna maeneo madogo madogo kama haya mkifanya hivi mtashangaa tunavyopata fedha za kigeni
 
Back
Top Bottom