Kwa vile, watawala wamejikita zaidi kwenye khoja ya mapato ya serikali kupaa sasa tunawatabiria mapato ya serikali kutokana na bandari ya Dar yatashuka hadi kufikia sifuri.
Bwana atatenda na jina lake lihidimiwe. Hivyo, hata hiyo Trilioni 7.1 mnayoidhihaki leo mtaitafuta kwa tochi ya Nokia na kamwe hamtaiona.
Kuanzia hapo mtajua yuko Mfalme wa wafalme na Mungu wa miungu.
Hamuwezi kumsulubu Mwenyezi Mungu kiasi hiki mkabaki salama.
Kwani nyie ni akina nani?