Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #301
Kwa kutumia takwimu za mapato ya TPA June 2022 Trilioni 7.1 ambacho Serikali hupata kwa mwaka ni 53.79% ya mapato yote kwa mwaka ya TPA ambayo ni takribani 13. 2 Trilioni
Do your math!
7.1/13.2 × 100 = 53.79%
Hiyo 10% wanayodai hupata kutoka TPA ni UONGO!
Wao hupata zaidi ya 54% kwa mwaka ya mapato yote ya TPA.
Do your math!
7.1/13.2 × 100 = 53.79%
Hiyo 10% wanayodai hupata kutoka TPA ni UONGO!
Wao hupata zaidi ya 54% kwa mwaka ya mapato yote ya TPA.