Maoni yangu; ijapokuwa ukweli huuma lakini uongo huuma zaidi

Maoni yangu; ijapokuwa ukweli huuma lakini uongo huuma zaidi

mhanuzi wangu

Senior Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
125
Reaction score
72
Sipingani na ule msemo maarufu wa ukweli unauma, lakini leo Kuna baadhi ya mambo yamenifanya kuamini kuwa kumbe hata uongo,kusingiziwa jambo ambalo hukulifanya huwa inauma zaidi.
 
Back
Top Bottom