Maoni yangu jinsi ya kuboresha Sekta ya Elimu nchini

Maoni yangu jinsi ya kuboresha Sekta ya Elimu nchini

Azimio la kazi

Senior Member
Joined
Jun 7, 2023
Posts
138
Reaction score
452
Habari wana bodi ni matumaini Yangu kuwa wote ni wazima wa afya.

Mimi ni Kijana wa kitanzania miaka 23 pia mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Siku ya Leo nimewaza Sana ambayo yanaweza boresha sekta ya elimu na maisha ya walimu kwa ujumla kama ifuatavyo;

01. Kuwe na Kodi ya hiari ambayo Kila familia kwa mwaka iombwe iachangie elfu tano, ambapo pesa hiyo itakwenda moja Kwa Moja kwenye mfuko nao pendekeza uitwe mfuko wa elimu, ambapo pesa hiyo itumike kuboresha miundombinu ya elimu hasa vijijini.

02. Kuwe na Kodi ya lazima kwa kila Mbunge, waziri, das,Ras na Ded kwa mwaka wata kiwe kulipa elfu 100000 kama Kodi ya elimu ambapo pesa hiyo itakwenda kwenye ujenzi wa nyumba za walimu Kila mwaka

03. Kwenye boom za wanafunzi, Kila mwanafunz kwenye boom Yale atakiwe achangie elfu kumi kwenye Kila boom pesa hiyo iingie kwenye mfuko wa elimu.

Angalizo kuwe na usimamizi mzuri wa PESA hozo.
 
Kabla hatujafika huko, unafahamu Tozo ambazo ni double taxation kwenye miamala ya kifedha zinatumika kufanya nini??
 
Wazo lako ni zuri sana mkuu . Hapo mchawi ni utekelezaji tu. I like the way u think.


GENTAMYCINE Tazama walimu wenzako wanavyo waza
 
Wewe mshamba kweli uliona wapi mtu aliyekopeshwa akamsaidia aliyemkopesha Tena kwenye kitu hicho hicho ulichokopa? waza module kwanza
 
Dogo komaa na chuo , kama hauna physics utaajiriwa 2034 ingawa huamuni.




Maliza chuo uwe chinga
 
Mwalimu ni zaidi ya kiongozi wa dini, zaidi ya mazazi na zaidi ya kiongozi yoyote yule.

Walimu lazima tujue Kuwa Tumepewa jukumu kubwa sana la kujenga taifa letu.

Lazima tujue Kuwa ualimu ni wito, na hakuna serikali inayoweza waridhisha kwa mishahara.
Walimu wenzangu tutalipwa mbinguni na mwenyezi MUNGU.
Taaluma hii imetukuka sana kwani ni taaluma mama ijayo andaa taaluma zote.

Kama unafikri Kuwa walimu hawatosheki na maslah yao basi jua kuwa Huna wito na haufai Kuwa mwalimu.

Kwa kauli moja sisi walimu tunasema kuwa tunapenda kazi yetu na tupo Tayari kujenga taifa letu kwa Hali yoyote Ile.
 
Habari wana bodi ni matumaini Yangu kuwa wote ni wazima wa afya.

Mimi ni Kijana wa kitanzania miaka 23 pia mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Siku ya Leo nimewaza Sana ambayo yanaweza boresha sekta ya elimu na maisha ya walimu kwa ujumla kama ifuatavyo;

01. Kuwe na Kodi ya hiari ambayo Kila familia kwa mwaka iombwe iachangie elfu tano, ambapo pesa hiyo itakwenda moja Kwa Moja kwenye mfuko nao pendekeza uitwe mfuko wa elimu, ambapo pesa hiyo itumike kuboresha miundombinu ya elimu hasa vijijini.

02. Kuwe na Kodi ya lazima kwa kila Mbunge, waziri, das,Ras na Ded kwa mwaka wata kiwe kulipa elfu 100000 kama Kodi ya elimu ambapo pesa hiyo itakwenda kwenye ujenzi wa nyumba za walimu Kila mwaka

03. Kwenye boom za wanafunzi, Kila mwanafunz kwenye boom Yale atakiwe achangie elfu kumi kwenye Kila boom pesa hiyo iingie kwenye mfuko wa elimu.

Angalizo kuwe na usimamizi mzuri wa PESA hozo.
Nia yako ni nzuri ila kuna shida ya utekelezaji kwani kuna umasikini mkubwa huko vijijini
1. Hivi unajua kuna familia za kitanzania karibia 30% zilishindwa kupeleka watoto wakasome shule za msingi za umma kwa kulipia ada ya shs 20,000 kwa mwaka; au wewe umetokea mabasi ya njano?

2. Hao wanafunzi unaosema wakatwe boom, kunachangamoto hapa;
kwa wale wanaopata full mkopo ni rahisi kuwakata ila wengi wanapata chini ya hapo na sijui kama itakuwa sawa kuwakata (mfano wale wanaopata 20%, 40% na 60%
Mwisho: kwa hawa wanafunzi wasomi wa ngazi ya degree, wanatakiwa wawe (mfano) na uwezo wa kujiwekea akiba Sio mtu ametoka familia masikini lakini chuoni anashindana kutumbua raha na watoto wa walamba asali
 
01. Kuwe na Kodi ya hiari ambayo Kila familia kwa mwaka iombwe iachangie elfu tano, ambapo pesa hiyo itakwenda moja Kwa Moja kwenye mfuko nao pendekeza uitwe mfuko wa elimu, ambapo pesa hiyo itumike kuboresha miundombinu ya elimu hasa vijijini.
Bongo hakuna msamiati wa 'HIARI' kwenye pesa. Milo miwili yenyewe bado ni mgogoro sana, na kuna kaya ambazo hata mlo mmoja bado ni ishu, huo ubavu wa kutoa kodi kwa hiari utatoka wapi?
 
Back
Top Bottom