Uchaguzi 2020 Maoni yangu juu ya mchakato wa mgombea urais CHADEMA

Siku moja tu baada ya Lisu kutumia masaa 4 akiwahutubia watanzania na kuwapa sababu za kwa nini anatangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, huku nyuma Mbowe akaibuka na igizo la kuvamiwa na watu wasiojulikana, kisha kukanyagwa kanyagwa na kuvunjwa mguu wa kulia bila mtoto wake James aliyekuwa ndani kusikia chochote ,badala yake akasikia Joyce Mkuya aliyekuwa umbali wa kilomita
5!!
Lengo la hili igizo ilikuwa ni kufunika habari ya Lisu kuandikwa na vyombo vya habari.

Kana kwamba haitoshi Mbowe baada tu ya kuruhusiwa kutoka hospitali ,huku akichechemea akatangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania!
Yani watanzania wakiwa na hamu ya kusikia report kutoka kwa Mbowe mwenyewe kwamba alivamiwaje, ilikuwaje ,badala ya kujibu hizo hoja ,yeye akaja na igizo jingine la kwamba kuna wazee wameenda nyumbani kwake kumshawishi awanie urais wa Tanzania!!.

Hivi Lisu unataka ufanyiwe nini ndiyo ujue kwa sasa hauhitajiki Chadema?
Haya maigizo ya mwenyekiti wako wa chama kufunika utangazaji wako nia hayajakuamsha tu?.

Shituka
 
Mchakato wa kumpata mgombea Chadema una mvuto sana, na utavutia jamii ya watz na jumuiya ya kimataifa
 
Ndio uzuri na ubaya wa Demokrasia. Lakini kama kweli wana nia, malengo na matamanio yanayofanana; basi watavuka salama.
Hawawezi kuvuka, kumbuka Nyalandu alisema 2015 kuwa wamarekani ndiyo wamemtuma awe Rais kama si Lahisi wa Tanzania. Ilipobuma akahamia CDM. Inaaminika Wachagga hawakutaka TL awe Mwenyekiti wa CDM na alipoanza vituko sasa yupo Ubeleji. Leo hii TL kaweka nia na Mbowe (kiboko yao) katangaza pia. Hapo unategemea nini? Huoni TL kapoa sasa? CDM ikubali kuwa underdog wa upinzani hapa TZ au siyo Sky Eclat
 
Ndio uzuri na ubaya wa Demokrasia. Lakini kama kweli wana nia, malengo na matamanio yanayofanana; basi watavuka salama.
Hawawezi kuvuka, kumbuka Nyalandu alisema 2015 kuwa wamarekani ndiyo wamemtuma awe Rais kama si Lahisi wa Tanzania. Ilipobuma akahamia CDM. Inaaminika Wachagga hawakutaka TL awe Mwenyekiti wa CDM na alipoanza vituko sasa yupo Ubeleji. Leo hii TL kaweka nia na Mbowe (kiboko yao) katangaza pia. Hapo unategemea nini? Huoni TL kapoa sasa? CDM ikubali kuwa underdog wa upinzani hapa TZ au siyo Sky Eclat
 
Rubbish

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kusema ukweli hata mimi kidogo imenishangaza hii. Sio kawaida ya CDM kutotolea ufafanuzi wa tukio la kuvamiwa. Nilitegemea Mh. Mbowe asema anachokijua juu ya tukio lile. Anyway, tumpe muda. Naamini atatuambia nini kilimsibu.
 
Kama nakuelewa hivi. Kuna hoja kwenye maandishi yako.
 
Ni matumaini yangu mchakato utaisha bila kuacha mpasuko.
 
Kama nakuelewa hivi. Kuna hoja kwenye maandishi yako.
Kwa wajinga ambao wanajifanya kutukana hapa JF hawawezi kunielewa, ndugu yangu huu ndiyo ukweli na inaonesha intelligensia ya CDM ni weak ndo maana wachagga wakaanza kuwa na Plan B yaani kufufua NCCR Mageuzi ili kulipa kisasi kwa Mrundi Zitto. Nani asiyejua kuwa 2020-2025 urais ni wa Magufuli? Ni TL pekee ambaye akili zake anazijua ambaye ana imani anapendwa na watanzania kiasi wampe kura ili amng’oe JPM. Thubutu
 
Speculations tupu
 
Kolola,

Nashukuru sana kwa mchango wako. Watu kama mimi napenda sana kujifunza. Ukiona mtu anakimbilia kutukana; tambua kwamba amechagua upande wa kushirikiana na UJINGA wake.

Nitaendelea kufuatilia maandishi yako. Yana mambo ya msingi yanayotafakarisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…