Uchaguzi 2020 Maoni yangu juu ya mchakato wa mgombea urais CHADEMA

Uchaguzi 2020 Maoni yangu juu ya mchakato wa mgombea urais CHADEMA

Kolola,

Nashukuru sana kwa mchango wako. Watu kama mimi napenda sana kujifunza. Ukiona mtu anakimbilia kutukana; tambua kwamba amechagua upande wa kushirikiana na UJINGA wake.

Nitaendelea kufuatilia maandishi yako. Yana mambo ya msingi yanayotafakarisha.
Nami najifunza tu kutoka kwa watu kama nyie! Hata wale wanaotukana kuna jambo najifunza pia, ndo maana huwa sirudishi matusi na hata unitukane kuwa wewe mbwa, kwa vile najijua ni binadamu, sitaudhika. Nakumbuka nishawahi kuambiwa kuwa ukifika no class ahead (permanent head damage) ujue wewe ni mjinga namba moja hapa duniani kwa hiyo unakuwa na kiu ya kujifunza =unakuwa mtafiti madhubuti. Ndiyo filosofia yangu. Kazi yangu kubwa hapa JF ni kutoa maono yangu kwa vile tumeanza kazi kabla ya nzee Ruksa
 
Nami najifunza tu kutoka kwa watu kama nyie! Hata wale wanaotukana kuna jambo najifunza pia, ndo maana huwa sirudishi matusi na hata unitukane kuwa wewe mbwa, kwa vile najijua ni binadamu, sitaudhika. Nakumbuka nishawahi kuambiwa kuwa ukifika no class ahead (permanent head damage) ujue wewe ni mjinga namba moja hapa duniani kwa hiyo unakuwa na kiu ya kujifunza =unakuwa mtafiti madhubuti. Ndiyo filosofia yangu. Kazi yangu kubwa hapa JF ni kutoa maono yangu kwa vile tumeanza kazi kabla ya nzee Ruksa
Salute kwako ndugu Kolola. Tuendelee kupeana taarifa na maarifa.
 
Hivi ni lini mchakato wa kumpata mgombea wa kiti cha Urais ndani ya Chadema utafanyika?
 
Back
Top Bottom