Ila azizi ki, anacho kiwango mnachotaka ?Mi naona Chama aende Azam tu maana Simba imebaki jina na wazee anaua kipaji na Yanga atakaaa benchi Hana kiwango tunachotaka.
Hilo la kudiscuss mchezaji Gani apangwe Namba ngapi ni kupoteza muda tu
Umeandikaa ukajaribu kuficha upumbavu wako mwisho ukashindwa. Mpumbavu ni mpumbavu tu aisee ni ngumu kuuficha. Kafie mbeleWw una utaalam upi!!?? Hujawahi kukochi hata timu za chandimu. Punguzeni midomo yenu mirefu na dharau. Tz sasa hv kuna timu moja tu Jangwani. Na kwa taarifa yako huu ni mwanzo tu.
Pale mwanzo nilitoa tahadhari. Huu uzi ni wa watu timamu. Bahati mbaya kuna watu walioshikiwa akili wameingiaIla azizi ki, anacho kiwango mnachotaka ?
Takwimu za kibu denis vs mayele zinatia uchungu.Pale mwanzo nilitoa tahadhari. Huu uzi ni wa watu timamu. Bahati mbaya kuna watu walioshikiwa akili wameingia
Sijui kocha anatumia jicho gani kutoona jambo dogo kama hiloKocha Robertinho atakapoacha kumtumia Chama kama winga ndipo atapata matokeo zaidi ya haya, Chama hana speed kubwa, hawezi kumchukua beki akaanza kumkimbia ili apige Krosi, ubora wake unabatikana akicheza nyuma ya Mshambuliaji ndo sehemu amezoea kucheza..! Nguvu Moja [emoji881]
Pimbi ww. Unapenda kweli kuandika kuhusu Yanga in a negative way. You are a kind of stupid. Kuna siku tutakupiga kiboga.Ameandikaa ukajaribu kuficha upumbavu wako mwisho ukashindwa. Mpumbavu ni mpumbavu tu aisee ni ngumu kuuficha. Kafie mbele
Pimbi baba yako, unavyoliwa kiboga umedhani kila mtu ni mbwambwa. Warudie wanaokugonga mimi siwezi kuwa mende wako.Pimbi ww. Unapenda kweli kuandika kuhusu Yanga in a negative way. You are a kind of stupid. Kuna siku tutakupiga kiboga.
Tuko pamoyaWakubwa wenzangu tuache kujadili ulimbukeni wa jamaa zetu kwenye mashindano ya CAF, tujadili mambo ya msingi.
Clatous Chama amekuwa akipangwa winga huku Saido Ntibazonkiza akitumika kama kiungo wa kushambulia nyuma ya mshambuliaji wa kati.
Chama amekuwa akionyesha uwezo mkubwa wa kupiga pasi za mwisho (assists) kulinganisha na Saido ambaye ameonyesha uwezo wa kufumania nyavu pindi anapopata fursa.
Kitendo cha kumpanga Chama pembeni kinaonekana kuipunguzia Simba idadi ya pasi za mwisho jambo linaloonekana kuwapa wakati mgumu washambuliaji wa kati ambao wamekuwa wakipangwa, hivyo pengine Robertinho angejaribu kumtumia Saido winga na kumrudisha Chama acheze namba 10.
Maoni yangu ya kitaalamu ni hayo kuelekea Jumamosi kwenye fainali yetu. Wewe maoni yako ni yapi.
Hawajui mpira, kwenye mpira lolote linaweza kutokea mzeeHiyo mechi ya Raja, Makolo wenzio wameshakubali yaishe!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wewe ndie kiumbe wa ajabu, juzi tu kwenye ile game yenu ya away na Mazembe ulikuwa unamponda Nabi amekosea kupanga timu, wewe ulitaka achezeshe viungo wengi, mpaka mlipopata goli la pili dakika za mwisho ndio ukanyamaza...Hawa viumbe ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu.
Ujuaji tu umewajaa. Kajitu kamekula ugali wake na maharage! Baada ya kushiba, kanajiona kameshakuwa na kenyewe ni kakocha ka viwango vya Robertino!
Mimi ni kocha mwenye cheti cha awali, lakini pia nimecheza na kufundisha mpira katika ngazi mbalimbali.Wewe ndie kiumbe wa ajabu, juzi tu kwenye ile game yenu ya away na Mazembe ulikuwa unamponda Nabi amekosea kupanga timu, wewe ulitaka achezeshe viungo wengi, mpaka mlipopata goli la pili dakika za mwisho ndio ukanyamaza...
Jifunze kuweka akiba ya maneno, kumbukunbu zako tunazo vizuri, kumbe ukiwa unamfundisha Nabi ndio unakuwa umetoka kushiba maharage[emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi ukishiba wewe inatosha, wengine tuacheš«£š«£
Usimalize maneno mkuu! Mpira hauchezwi chumbani!Mlivyofanywa na jwaneng Galaxy,horoya anakuja kuwafanya hivyo hivyo.
Ilo kundi hamtoboi hata kwa dawa
Leo ndio mnalitambua ilo?Usimalize maneno mkuu! Mpira hauchezwi chumbani!
Siku zako za kuliwa kiboga zinahesabika. Fala ww.Pimbi baba yako, unavyoliwa kiboga umedhani kila mtu ni mbwambwa. Warudie wanaokugonga mimi siwezi kuwa mende wako.
Mkuu ukileta kitu chenye akili kwenye kadamnasi,we tarajia haya ,kumbuka nzi hachagui manukato Wala kimba!Pale mwanzo nilitoa tahadhari. Huu uzi ni wa watu timamu. Bahati mbaya kuna watu walioshikiwa akili wameingia
Kwa sababu Simba ikishinda dhidi ya Horoya imeingia robo fainali.Mchezo na Raja unakuwa wa kukamilisha ratiba .Mechi ya mwisho si tunacheza na Raja kwa nini useme mechi ya Horoya ndio fainali!?