Maoni yangu kitalaamu kuelekea "fainali" dhidi ya Horoya

Maoni yangu kitalaamu kuelekea "fainali" dhidi ya Horoya

Ww una utaalam upi!!?? Hujawahi kukochi hata timu za chandimu. Punguzeni midomo yenu mirefu na dharau. Tz sasa hv kuna timu moja tu Jangwani. Na kwa taarifa yako huu ni mwanzo tu.
Sasa mbona unaongea vidole juu? Vivulana vya siku hizi bwana!!
 
Mimi ni kocha mwenye cheti cha awali, lakini pia nimecheza na kufundisha mpira katika ngazi mbalimbali.

Ni tofauti kabisa na nyinyi mashabiki wa simba, ambao hamna utaalam wowote, na mara zote mmekuwa mkiwaandama makocha wenu kwa kulazimishwa apangwe Chama!
Wacha longolongo, weka hivyo vyeti hapa.
 
Wakubwa wenzangu tuache kujadili ulimbukeni wa jamaa zetu kwenye mashindano ya CAF, tujadili mambo ya msingi.

Clatous Chama amekuwa akipangwa winga huku Saido Ntibazonkiza akitumika kama kiungo wa kushambulia nyuma ya mshambuliaji wa kati.

Chama amekuwa akionyesha uwezo mkubwa wa kupiga pasi za mwisho (assists) kulinganisha na Saido ambaye ameonyesha uwezo wa kufumania nyavu pindi anapopata fursa.

Kitendo cha kumpanga Chama pembeni kinaonekana kuipunguzia Simba idadi ya pasi za mwisho jambo linaloonekana kuwapa wakati mgumu washambuliaji wa kati ambao wamekuwa wakipangwa, hivyo pengine Robertinho angejaribu kumtumia Saido winga na kumrudisha Chama acheze namba 10.

Maoni yangu ya kitaalamu ni hayo kuelekea Jumamosi kwenye fainali yetu. Wewe maoni yako ni yapi.
Sasa unamwambia nani hapa, si umpigie simu Robertinho au Mgunda?

Makolo bhana
 
Mimi ushauri wangu tumlete yule mganga wetu kutoka Pemba, na pia yule mama mganga wa Moro mwenye titi Moja tumlipe Ile Hela yake tuliyomzurumu ili magoli yarudi pale Kwa Mkapa. Tusipofanya hivyo haki ya Mungu hatutoboi.
Simba ngufu moya[emoji123][emoji123]
Unawashwa Tena we shoga?.....kama huna Cha kupost kwenye post za wanaume kaa kimya...punguza uchoko
 
Wakubwa wenzangu tuache kujadili ulimbukeni wa jamaa zetu kwenye mashindano ya CAF, tujadili mambo ya msingi.

Clatous Chama amekuwa akipangwa winga huku Saido Ntibazonkiza akitumika kama kiungo wa kushambulia nyuma ya mshambuliaji wa kati.

Chama amekuwa akionyesha uwezo mkubwa wa kupiga pasi za mwisho (assists) kulinganisha na Saido ambaye ameonyesha uwezo wa kufumania nyavu pindi anapopata fursa.

Kitendo cha kumpanga Chama pembeni kinaonekana kuipunguzia Simba idadi ya pasi za mwisho jambo linaloonekana kuwapa wakati mgumu washambuliaji wa kati ambao wamekuwa wakipangwa, hivyo pengine Robertinho angejaribu kumtumia Saido winga na kumrudisha Chama acheze namba 10.

Maoni yangu ya kitaalamu ni hayo kuelekea Jumamosi kwenye fainali yetu. Wewe maoni yako ni yapi.
NAunga mkono hoja.
 
Wakubwa wenzangu tuache kujadili ulimbukeni wa jamaa zetu kwenye mashindano ya CAF, tujadili mambo ya msingi.

Clatous Chama amekuwa akipangwa winga huku Saido Ntibazonkiza akitumika kama kiungo wa kushambulia nyuma ya mshambuliaji wa kati.

Chama amekuwa akionyesha uwezo mkubwa wa kupiga pasi za mwisho (assists) kulinganisha na Saido ambaye ameonyesha uwezo wa kufumania nyavu pindi anapopata fursa.

Kitendo cha kumpanga Chama pembeni kinaonekana kuipunguzia Simba idadi ya pasi za mwisho jambo linaloonekana kuwapa wakati mgumu washambuliaji wa kati ambao wamekuwa wakipangwa, hivyo pengine Robertinho angejaribu kumtumia Saido winga na kumrudisha Chama acheze namba 10.

Maoni yangu ya kitaalamu ni hayo kuelekea Jumamosi kwenye fainali yetu. Wewe maoni yako ni yapi.
Kweli kabisa, kwenye ligi ya Tanzania hakuna mchezaji anayetulia na mpira kama Chama, ana ball control, anauwezo wa kupunguza, anauweza wa kupiga pasi ikamgifikia muhusika bila waswas kiufupi jamaa kiungo Cha kati kinamfaa zaid
 
Mimi nitakuja na uzi wa maoni yangu 'kitakwimu'
 
Wewe ndie kiumbe wa ajabu, juzi tu kwenye ile game yenu ya away na Mazembe ulikuwa unamponda Nabi amekosea kupanga timu, wewe ulitaka achezeshe viungo wengi, mpaka mlipopata goli la pili dakika za mwisho ndio ukanyamaza...

Jifunze kuweka akiba ya maneno, kumbukunbu zako tunazo vizuri, kumbe ukiwa unamfundisha Nabi ndio unakuwa umetoka kushiba maharage[emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi ukishiba wewe inatosha, wengine tuache🫣🫣
Yanga tayari kacheza gemu ya away na Mazembe?
 
Wakubwa wenzangu tuache kujadili ulimbukeni wa jamaa zetu kwenye mashindano ya CAF, tujadili mambo ya msingi.

Clatous Chama amekuwa akipangwa winga huku Saido Ntibazonkiza akitumika kama kiungo wa kushambulia nyuma ya mshambuliaji wa kati.

Chama amekuwa akionyesha uwezo mkubwa wa kupiga pasi za mwisho (assists) kulinganisha na Saido ambaye ameonyesha uwezo wa kufumania nyavu pindi anapopata fursa.

Kitendo cha kumpanga Chama pembeni kinaonekana kuipunguzia Simba idadi ya pasi za mwisho jambo linaloonekana kuwapa wakati mgumu washambuliaji wa kati ambao wamekuwa wakipangwa, hivyo pengine Robertinho angejaribu kumtumia Saido winga na kumrudisha Chama acheze namba 10.

Maoni yangu ya kitaalamu ni hayo kuelekea Jumamosi kwenye fainali yetu. Wewe maoni yako ni yapi.
Nimelipeleka kama lilivyo kwa Viongozi na Kocha nina imani watamtafasilia
 
Back
Top Bottom