Maoni yangu kitalaamu kuelekea "fainali" dhidi ya Horoya

Galasa la yanga Leo hii ndio injini la Simba pale kwenye kushambulia,hahaaaa.[emoji23]
 
Chama na saido hawatakiwi kuanza wote,ni aidha aanze chama saido aanzie benchi nafasi yake aanze kibu.
 
Ww una utaalam upi!!?? Hujawahi kukochi hata timu za chandimu. Punguzeni midomo yenu mirefu na dharau. Tz sasa hv kuna timu moja tu Jangwani. Na kwa taarifa yako huu ni mwanzo tu.
Hiyo timu iko kwa walioshindwa,kweli kinyesi fc ni vilaza sana
 
Mleta mada amesema tujadili kitaalamu wewe unamshambulia mleta mada,hii ni haki kweli au hujaelewa uzi unataka nini?
Amesema ni maoni yake,wewe maoni yako ni yapi?
Hayanaga akili hayo myazoee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…