Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Ni gari nzuri ni comfortable ndani kama huna mapepe, if you are here next level is landcruiser, spare zipo za kutosha, mafuta kawaida, but dont overspeed! Ingawa ina matatizo ya shockups but its good car! Had two of them! Asingekuwa jiwe ningekuwa kwa v8! Dis life!
Huyo jiwe kafanyaje sasa? Acheni hizo nyie
 
Acha kuleta story za madalali, xtrail gari ngum na comfortable
Sent using Jamii Forums mobile app
ibofwee X Trial Nissan si gari kabisa amini km uko nayo jaribu hilo bodi kusogeza niti ya kiberiti inayowaka (ni Plastic kabisa) ikichanika mpaka umuite fundi viatu
kwa mengine labda niseme Nissan x ina piston 4 lkn ina injini ina vibrate saa zote na hasa ukisimama
Harrier ina piston 6 lakini haina mitetemo kwenye injini wala bodi ina mwendo wa kusoot inayo mkubwa kuliko Nissan
Haria inatumia mafuta 5% kwa safari za mbali kuliko Harrier vivyo Mjini inatumia zaidi ya Nissan
kwenye Body na uimara wa magari haya tofauti zake fuatilia hii link
Comparison between Nissan X-trail and Toyota Harrier
Comparison between Nissan X-trail and Toyota Harrier
Engine Transmission
Toyota Harrier has 6 cylinders in contrast to 4 in the Nissan X-trail. These two extra cylinders lead to less vibrations and offer smooth running engine. The piston diameter for the Toyota Harrier is 94mm to X-trail’s 84mm. 10mm larger pistons for the Harrier may lead to more filling. So, the Harrier releases more toxic emissions. Harrier’s engine power is 183kw while X-trail has a power of 127kw,
this means that Harrier has more power and is able to cater more speed.
 
Umesema kweli kabisa kaka,, Tanzania watu wananunua magari kwa kuigana na sio kwa kuangalia mahitaji,,
HAPANA Mkuu hivyo vigari (Sedan) vyote na Brevis kwa njia zetu za Tanzania havifai kwa Tako la nyani
wape Ligi singida Moro hizo bump rasta na mashimo Tako la nyani hapunguzi (ondoa vibao vya +50 na Traffic)
wape ligi barabara za Kilosa Mikumi au mpaka Matombo turudi Dar hawataonekana kweny hizo rough road
Hicho kigari kiliwahi kutaka ligi njia ya bagamoyo Msata, kiukweli ni doro tu mbele mnyama Brevis, maana kila akijaribu kusogea anaambulia kula moshi tu.., hamna kitu hapo
Mkuu DA DON usipange SUV na Sedan labda utumie Lami tu lakini tugeuze vumbi Msata katiza Handeni tutokee Kiteto Kondoa Puma Singida utaacha gari lako huko
Harrier achana ashindane na Nissan Prado na Toyota L/Cruiser SUV wenzake na 4x4 au 4WD
 
HYBRID MAANA YAKE INA MTUNGI WA GESI HAITUMII MAFUTA INATUMIA GESI
ungefafanua zaidi kwa ajili ya member, kwani mitaani kuna Toyoyta Harrier Hybrid ambapo baadhi wanasema wameondoa hiyo system na inasemekana huko kwao Harrie waliweza kutumia lita 1 kwa kilomita 18
  • Ni gari inayotumia kitu kingine zaidi ya petrol au diesel na husaidiana (mfano betri la kuchaji kwa umeme unaenda kituo cha umeme wanakuchajia unaenda zako au unaenda kituo cha mafuta kuongezea
  • A hybrid car is one that uses more than one means of propulsion - that means combining a petrol or diesel engine with an electric motor. The main advantages of a hybrid are that it should consume less fuel and emit less CO2 than a comparable conventional petrol or diesel-engined vehicle.
    1553000074459.png
 
HAPANA Mkuu hivyo vigari (Sedan) vyote na Brevis kwa njia zetu za Tanzania havifai kwa Tako la nyani
wape Ligi singida Moro hizo bump rasta na mashimo Tako la nyani hapunguzi (ondoa vibao vya +50 na Traffic)
wape ligi barabara za Kilosa Mikumi au mpaka Matombo turudi Dar hawataonekana kweny hizo rough road

Mkuu DA DON usipange SUV na Sedan labda utumie Lami tu lakini tugeuze vumbi Msata katiza Handeni tutokee Kiteto Kondoa Puma Singida utaacha gari lako huko
Harrier achana ashindane na Nissan Prado na Toyota L/Cruiser SUV wenzake na 4x4 au 4WD
Sasa si ndio ukubali kwamba hugusi moto wa mnyama Brevis, kwani lini watu wakashindana kwenye barabara ambayo haipitiki? Hata kama haina lami, bado humgusi mnyama, maana yuko very poweful and stable, ili mradi iwe ni barabara inayopitika, acha visingizio aisee..
 
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.

Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine

Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.

Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa

Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.

Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.

Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.

Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]
Bora Diffender tako la Sokwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si ndio ukubali kwamba hugusi moto wa mnyama Brevis, kwani lini watu wakashindana kwenye barabara ambayo haipitiki? Hata kama haina lami, bado humgusi mnyama, maana yuko very poweful and stable, ili mradi iwe ni barabara inayopitika, acha visingizio aisee..
OK kwa barabara za Dar na parking finyu labda
namaanisha Off road na Milimani km Usangi, Kibosho, Matombo, mvuha hakuna Brevi's (Sedan) inapanda ila utatumia Harrier (SUV)
na ukija on tarmac tutakula pamoja , najua kila mmoja anavutia mnyama wake ma amakoishi,mm nipo Mvumi milimani
 
Mkuu, kama nilivyosema pale mwanzo ni kuwa toyota nyingi hazijatulia. Ila miongoni mwa chache zilizotulia ni kama hizo vx na v8.

Ngoja nikupe uzoefu wangu kidogo, nilikuwa nimezoea kuendesha SUV nissan ambayo kwa kawaida nimezoea kulala nayo katika kona hata nikiwa above 140, sasa siku moja nikaombwa kuwatoa watu Tanga niwapeleke Dar kwa harrier yao yaani nilijuta. Gari haishiki barabara kabisaaaa katika kona nikahisi kabisa inaweza kutuangusha basi nikawa mpole.

Pamoja na hayo yote, lipo jambo la msingi unapaswa kujua unapotaka kununua gari, je mahitaji yako ni yapi??? Ukijibu swali hili vzr ni rahisi kupata ushauri mzuri wa gari nzuri inayoweza kukufaa.

Mf: Kuna mtu anataka gari yenye hadhi - huyu malengo yake yatakuwa gari mfano v8, vx etc

Mwingine anahitaji gari ambayo ni fuel efficient atachukua gari ya cc ndogo au ambayo ni ya umeme zaidi

Mwingine yeye anajali brand ambayo ni unique

Mwingine anataka gari ambayo ni durable ili aitumie muda mrefu sana

Sasa basi ukiwa unajua unataka nini then unalinganisha na mfuko wako basi unapata kitu roho inapenda.
jamani tukubaliane ajali ni Dereva na sio gari
km mweleka Prado ndio nyepesi hasa kubiringita
ikifuatia na hizo Toyota Land cruiser V8 huko kusini jamaa yangu Mnauye zimepiga chini 2 huko manyara Kigwangala hata GX nimeendesha sana nipo mwaka wa 8 sasa hazilali kwenye speed hiyo labda uniambie hizi Sedan km GX100, Brevis nk
Harrier sijaona wala kusikia imebiringita labda mzinga wa uso kwa uso (h/coallition) au mzinga wa mti
mwenye picha ya Harrier miguu juu naiomba hapa kwenye Mada hata km ni ya huko nje ya Nchi
 
jamani tukubaliane ajali ni Dereva na sio gari
km mweleka Prado ndio nyepesi hasa kubiringita
ikifuatia na hizo Toyota Land cruiser V8 huko kusini jamaa yangu Mnauye zimepiga chini 2 huko manyara Kigwangala hata GX nimeendesha sana nipo mwaka wa 8 sasa hazilali kwenye speed hiyo labda uniambie hizi Sedan km GX100, Brevis nk
Harrier sijaona wala kusikia imebiringita labda mzinga wa uso kwa uso (h/coallition) au mzinga wa mti
mwenye picha ya Harrier miguu juu naiomba hapa kwenye Mada hata km ni ya huko nje ya Nchi
Mkuu upo sahihi, factor ya udereva ipo. Nilipotaja sababu ya toyota nyingi kuanguka nilisema hiyo ya kutoshika barabara ni moja wapo, hiyo ina maanisha zinaweza kuwepo sababu nyingine kama udereva.

Umetaja prado, katika gari stable sijaitaja maana naijua jinsi ilivyo weak in terms of stability.

Ila kwa upande wa VX, V8 nadhani zinaweza kuwa na afadhali kwa maana ya zimetengenezwa kuwa mwendo, stability na ni off road vile vile. Ila unachosema kinawezekana maana uzoefu VX, V8 sio mkubwa kivile.
 
Back
Top Bottom