born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,336
- 1,491
Huyo jiwe kafanyaje sasa? Acheni hizo nyieNi gari nzuri ni comfortable ndani kama huna mapepe, if you are here next level is landcruiser, spare zipo za kutosha, mafuta kawaida, but dont overspeed! Ingawa ina matatizo ya shockups but its good car! Had two of them! Asingekuwa jiwe ningekuwa kwa v8! Dis life!
ibofwee X Trial Nissan si gari kabisa amini km uko nayo jaribu hilo bodi kusogeza niti ya kiberiti inayowaka (ni Plastic kabisa) ikichanika mpaka umuite fundi viatuAcha kuleta story za madalali, xtrail gari ngum na comfortable
Sent using Jamii Forums mobile app
Engine Transmission
Toyota Harrier has 6 cylinders in contrast to 4 in the Nissan X-trail. These two extra cylinders lead to less vibrations and offer smooth running engine. The piston diameter for the Toyota Harrier is 94mm to X-trail’s 84mm. 10mm larger pistons for the Harrier may lead to more filling. So, the Harrier releases more toxic emissions. Harrier’s engine power is 183kw while X-trail has a power of 127kw,
this means that Harrier has more power and is able to cater more speed.
HAPANA Mkuu hivyo vigari (Sedan) vyote na Brevis kwa njia zetu za Tanzania havifai kwa Tako la nyaniUmesema kweli kabisa kaka,, Tanzania watu wananunua magari kwa kuigana na sio kwa kuangalia mahitaji,,
Mkuu DA DON usipange SUV na Sedan labda utumie Lami tu lakini tugeuze vumbi Msata katiza Handeni tutokee Kiteto Kondoa Puma Singida utaacha gari lako hukoHicho kigari kiliwahi kutaka ligi njia ya bagamoyo Msata, kiukweli ni doro tu mbele mnyama Brevis, maana kila akijaribu kusogea anaambulia kula moshi tu.., hamna kitu hapo
ungefafanua zaidi kwa ajili ya member, kwani mitaani kuna Toyoyta Harrier Hybrid ambapo baadhi wanasema wameondoa hiyo system na inasemekana huko kwao Harrie waliweza kutumia lita 1 kwa kilomita 18HYBRID MAANA YAKE INA MTUNGI WA GESI HAITUMII MAFUTA INATUMIA GESI
Muelezee huyo Prince Kunta kuwa Jukwaa la Magari Mshana Jr msahana ndiye aliyelianzisha hapa JF kabla ya kuanza uganga huko Msata apekuepekue tu kachangia magari kuliko Uganga na si JF tu hata WhatsappMbona siku zote yupo kote kote! Ko mada za magari yupo vizuri na kwenye mambo ya hirizi yupo poa sana pia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120]Muelezee huyo Prince Kunta kuwa Jukwaa la Magari Mshana Jr msahana ndiye aliyelianzisha hapa JF kabla ya kuanza uganga huko Msata apekuepekue tu kachangia magari kuliko Uganga na si JF tu hata Whatsapp
Huyo ni mnyama wa maanaMimi nasukuma hii... Sijawahi kujuta... Nawanyanyapaa highway wenye mashine zao.. Hii ni Volvo V40 kubwaView attachment 1048929View attachment 1048930
Jr[emoji769]
Sasa si ndio ukubali kwamba hugusi moto wa mnyama Brevis, kwani lini watu wakashindana kwenye barabara ambayo haipitiki? Hata kama haina lami, bado humgusi mnyama, maana yuko very poweful and stable, ili mradi iwe ni barabara inayopitika, acha visingizio aisee..HAPANA Mkuu hivyo vigari (Sedan) vyote na Brevis kwa njia zetu za Tanzania havifai kwa Tako la nyani
wape Ligi singida Moro hizo bump rasta na mashimo Tako la nyani hapunguzi (ondoa vibao vya +50 na Traffic)
wape ligi barabara za Kilosa Mikumi au mpaka Matombo turudi Dar hawataonekana kweny hizo rough road
Mkuu DA DON usipange SUV na Sedan labda utumie Lami tu lakini tugeuze vumbi Msata katiza Handeni tutokee Kiteto Kondoa Puma Singida utaacha gari lako huko
Harrier achana ashindane na Nissan Prado na Toyota L/Cruiser SUV wenzake na 4x4 au 4WD
Bora Diffender tako la SokweNi model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.
Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari
Jr[emoji769]
Hili chaka mkuu! Hybrid haina mtungi wa gas. Ila ina battery kubwa (linakuwa nyuma kwenye bonet) kwa ajili ya kuzalisha umeme wa ziada. Sio kweli kuwa hybrid haitumii mafuta. Inatumia kwa kiasi kidogo.HYBRID MAANA YAKE INA MTUNGI WA GESI HAITUMII MAFUTA INATUMIA GESI
CHIEF naona neno TAKO LA NYANI ndio limekusukuma kukurupupuka kuandika uzi huu kwa mihemko ya juu kabisa ukidhani labda unawaletea wana jf msamiati mpya kabisa. Kifupi Ila jina LA siku nyingi tu na watu wanalijua... Anyway umefanikiwa
OK kwa barabara za Dar na parking finyu labdaSasa si ndio ukubali kwamba hugusi moto wa mnyama Brevis, kwani lini watu wakashindana kwenye barabara ambayo haipitiki? Hata kama haina lami, bado humgusi mnyama, maana yuko very poweful and stable, ili mradi iwe ni barabara inayopitika, acha visingizio aisee..
jamani tukubaliane ajali ni Dereva na sio gariMkuu, kama nilivyosema pale mwanzo ni kuwa toyota nyingi hazijatulia. Ila miongoni mwa chache zilizotulia ni kama hizo vx na v8.
Ngoja nikupe uzoefu wangu kidogo, nilikuwa nimezoea kuendesha SUV nissan ambayo kwa kawaida nimezoea kulala nayo katika kona hata nikiwa above 140, sasa siku moja nikaombwa kuwatoa watu Tanga niwapeleke Dar kwa harrier yao yaani nilijuta. Gari haishiki barabara kabisaaaa katika kona nikahisi kabisa inaweza kutuangusha basi nikawa mpole.
Pamoja na hayo yote, lipo jambo la msingi unapaswa kujua unapotaka kununua gari, je mahitaji yako ni yapi??? Ukijibu swali hili vzr ni rahisi kupata ushauri mzuri wa gari nzuri inayoweza kukufaa.
Mf: Kuna mtu anataka gari yenye hadhi - huyu malengo yake yatakuwa gari mfano v8, vx etc
Mwingine anahitaji gari ambayo ni fuel efficient atachukua gari ya cc ndogo au ambayo ni ya umeme zaidi
Mwingine yeye anajali brand ambayo ni unique
Mwingine anataka gari ambayo ni durable ili aitumie muda mrefu sana
Sasa basi ukiwa unajua unataka nini then unalinganisha na mfuko wako basi unapata kitu roho inapenda.
Mkuu upo sahihi, factor ya udereva ipo. Nilipotaja sababu ya toyota nyingi kuanguka nilisema hiyo ya kutoshika barabara ni moja wapo, hiyo ina maanisha zinaweza kuwepo sababu nyingine kama udereva.jamani tukubaliane ajali ni Dereva na sio gari
km mweleka Prado ndio nyepesi hasa kubiringita
ikifuatia na hizo Toyota Land cruiser V8 huko kusini jamaa yangu Mnauye zimepiga chini 2 huko manyara Kigwangala hata GX nimeendesha sana nipo mwaka wa 8 sasa hazilali kwenye speed hiyo labda uniambie hizi Sedan km GX100, Brevis nk
Harrier sijaona wala kusikia imebiringita labda mzinga wa uso kwa uso (h/coallition) au mzinga wa mti
mwenye picha ya Harrier miguu juu naiomba hapa kwenye Mada hata km ni ya huko nje ya Nchi