Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahhahaaha Tako La Nyani....ila zinafanana kwa mbaliView attachment 1048385View attachment 1048386
Sent using Jamii Forums mobile app
.Hahahhahaaha Tako La Nyani....ila zinafanana kwa mbaliView attachment 1048385View attachment 1048386
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah Subaru ziko MOB. Nahisi hata wajapani wakijaga Bongo wanajiskia wako nyumbani kabisaBila kusahau Subaru Legacy na Forester kila mtu....kidogo kidogo na Impreza Hatchaback zimeanza kuvamiwa
15-20Harrier used, Yenye kilometres chini ya laki moja, ya miaka 2009/2010 bei ya wastani ni ngapi wakuu,ili kuepuka kupigwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, mie nina 'Lexus' mwaka wa nne sasa.Mkuu, nimenunua hii kitu kwa mtu miezi sita iliyopita ikanishinda nikauza niliyemuuzia kapiga mzinga maeneo ya senkenke kwa mbele mwezi uliopita, nilipata mshituko sana nikahisi kama ilikuwa inanitafuta.
.....
Ila jamaa mzima
ndo zinaitwa hvyo mkuu..sio mm
Mr. mubby heshima yako!Kuwa nyingi mjini ndio sababu ilisababisha nisiinunue na kuchukua bmw ingawa nilikuwa naipenda sana harrier
mkuu naongelea mark X Zio hii hapa, sio zile mark x sedan type
52millionHarrier used, Yenye kilometres chini ya laki moja, ya miaka 2009/2010 bei ya wastani ni ngapi wakuu,ili kuepuka kupigwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha shoboCHIEF naona neno TAKO LA NYANI ndio limekusukuma kukurupupuka kuandika uzi huu kwa mihemko ya juu kabisa ukidhani labda unawaletea wana jf msamiati mpya kabisa. Kifupi Ila jina LA siku nyingi tu na watu wanalijua... Anyway umefanikiwa