Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Datsun 120Y unaikumbuka? Ilikuwa Coupe
Hii hapa mzee baba[emoji39][emoji39]
Ina wowowo flani hivi hapo back
images%20(5).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah...naona wamiliki wa toyota port, willy, funcargo, passo, duet wameamua kuungana na kunishambulia mimi wa Datsun.[emoji39][emoji39][emoji39]
Anyway....tuendeleeni na tako la nyani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana wewe ni muongo tu maana
  • hujui speed ya gari inapimiwa kutoka wapi katika chombo cha moto
  • hujui speedometer (Odometer) ndio inayosoma umbali km Morogoro - Dar sasa ikihama si itasoma ni umbali wa 50km ambao ni wa Dar Kibaha?
  • naona BMW ndio zinazohama
54239270_366284017312675_3390945911738414591_n.jpg

kuna wenzako humu JF tumewaacha wanabishana eti Mabasi yao ya mikoani yanafuta Dashboard ya 120MPH (wakati hiyo speed ni 200km/h) tena BMW
ndio maana tunanyamaza post nyingine
 
Hapana wewe ni muongo tu maana
  • hujui speed ya gari inapimiwa kutoka wapi katika chombo cha moto
  • hujui speedometer (Odometer) ndio inayosoma umbali km Morogoro - Dar sasa ikihama si itasoma ni umbali wa 50km ambao ni wa Dar Kibaha?
  • naona BMW ndio zinazohama
View attachment 1061470
kuna wenzako humu JF tumewaacha wanabishana eti Mabasi yao ya mikoani yanafuta Dashboard ya 120MPH (wakati hiyo speed ni 200km/h) tena BMW
ndio maana tunanyamaza post nyingine
Watu huwa wanachanganya mile na kilometer

Jr[emoji769]
 
Hapana wewe ni muongo tu maana
  • hujui speed ya gari inapimiwa kutoka wapi katika chombo cha moto
  • hujui speedometer (Odometer) ndio inayosoma umbali km Morogoro - Dar sasa ikihama si itasoma ni umbali wa 50km ambao ni wa Dar Kibaha?
  • naona BMW ndio zinazohama
View attachment 1061470
kuna wenzako humu JF tumewaacha wanabishana eti Mabasi yao ya mikoani yanafuta Dashboard ya 120MPH (wakati hiyo speed ni 200km/h) tena BMW
ndio maana tunanyamaza post nyingine
Mzee baba naona hukunielewa point yangu..
Nilimaanisha kuna gari unapanda unadhangaa speed ya kawaida sana sana lakini mshale wa speedmeter unasoma mfano 150/kph...

Sixungumzi gari kupunguzwa mileage ili kumvutia mteja.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni gari nzuri ni comfortable ndani kama huna mapepe, if you are here next level is landcruiser, spare zipo za kutosha, mafuta kawaida, but dont overspeed! Ingawa ina matatizo ya shockups but its good car! Had two of them! Asingekuwa jiwe ningekuwa kwa v8! Dis life!
Waheshimiwa nyie ela mnapata wapi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichoelewa tu ni tako la nyani a.k.a tako jekundu...halafu linakuwaga limenona[emoji23][emoji8][emoji39][emoji39][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa wachache wasiojua historia ya tako la nyani hili jina ni la carina my road ya miaka kadhaa ilopita...nashangaa watu kuipa hii harrier hata haifanani na mkundu wa nyani...
carina hii ndo tako la nyani
images.jpeg-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa wachache wasiojua historia ya tako la nyani hili jina ni la carina my road ya miaka kadhaa ilopita...nashangaa watu kuipa hii harrier hata haifanani na mkundu wa nyani...
carina hii ndo tako la nyani
Sent using Jamii Forums mobile app
carina haijawahi kuwa na taa za juu
na sio Harrier zote ni matako ya nyani, hebu chunguza
ni New Model ndio zimepewa jina hilo na zinafukia mapori na milima licha ya makorongo (Off road)
Carina hawezi chanja pori la nyani
 
carina haijawahi kuwa na taa za juu
na sio Harrier zote ni matako ya nyani, hebu chunguza
ni New Model ndio zimepewa jina hilo na zinafukia mapori na milima licha ya makorongo (Off road)
Carina hawezi chanja pori la nyani
chanzo cha jina ni taa mzee sio mbuga..angalia carina hio nlioweka hapo sio T.i

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chanzo cha jina ni taa mzee sio mbuga..angalia carina hio nlioweka hapo sio T.i
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini usianzie Post #1 inayoelezea kwanini ikaitwa Tako la nyani hii ya kwako ndio kwanza naisikia kuwa sifa ni hizo taa zilizokaa kwenye boot unailazimisha wewe
tunachojadili hapa ni kufanana na Gendaeka na sifa nyingine na mshana katahadharisha na majanga yake hicho kiCarina hakiingii hata kwenye lami licha ya pori kwa pori
Je hapa chini ni ipi TAKO LA NYANI?
Carina Tako la nyani?
1063439

Harrier Tako la nyani?
1063435

Harrier Tako la nyani?
1063444
 
Mshana Jr
Baada ya uzi wako huu nimeielewa Harrier maarufu Tako la Nyani. Sasa ninaomba angalau unipe ubora na udhaifu wa hii Harrier first generation. Na kwa mtazamo wako Tako la Nyani na hii oldest model ipi ni bora??
BG164985_d0dc2e.JPG
BG135567_abd7bd.jpeg
 
Mshana Jr
Baada ya uzi wako huu nimeielewa Harrier maarufu Tako la Nyani. Sasa ninaomba angalau unipe ubora na udhaifu wa hii Harrier first generation. Na kwa mtazamo wako Tako la Nyani na hii oldest model ipi ni bora??
tofauti ni kubwa sana, na hizi 3rd Generation zinaingia katika (Hybrid) zikitumia mifumo ya mizunguko ya Betri, gas na Petrol na zinazokuja huku kwetu wengi wanakata mifumo hiyo na kubaki Petrol
kwa starehe wameongeza vitu kibao ila madhara pia yapo km suspension ya mbele tu service yake ya kubadili mazagazaga wanadai hadi 2m (naona umemTag Mshanajr)
 
Ukwaju
Ninakushukuru sana kwa ufafanuzi wako.
Kati ya hiyo Harrier niyoiweka hapo juu na hii hapa chini ya kuanzia 2003, 2004 na 2005 nk. Ipo ni confortable zaidi barabarani? Maana hii ni kama imepondwa na wadau kuwa zinakula mzinga sana.
BG139590_fcc566.jpeg
BG146716_5cc2c5.jpeg
 
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo).

Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.

Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine

Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.

Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa

Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.

Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.

Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.

Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]
Okay sasa nimegundua kitu
SharrowMilleonea alifarik kwa Ajar ya Gar hii pale pande za Korogwe mkoan Tanga.
Kumbe Harrier ni nzuri lakin kwenye kona ukiwa Speed kali 140kph inateleza na unapata Ajali.
N.b. Harrier ina Automatic 4WD pale inapohitajika then inarud 2WH.

Mytake: Brevis ipo vizur kwenye Speed na unaweza kukata Cona na 160kph huku gar ikiwa imetulia tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
carina haijawahi kuwa na taa za juu
na sio Harrier zote ni matako ya nyani, hebu chunguza
ni New Model ndio zimepewa jina hilo na zinafukia mapori na milima licha ya makorongo (Off road)
Carina hawezi chanja pori la nyani
Carina longtime sana zinaitwa tako la nyani kabla hata hizo harrier kuitwa hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana Jr
Baada ya uzi wako huu nimeielewa Harrier maarufu Tako la Nyani. Sasa ninaomba angalau unipe ubora na udhaifu wa hii Harrier first generation. Na kwa mtazamo wako Tako la Nyani na hii oldest model ipi ni bora??View attachment 1066469View attachment 1066470
Bado TAKO LA NYANI ni gari bora zaidi kulinganisha na hiyo old model... Kuna makosa kadha watakuwa wamerekebisha na kuboresha zaidi

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom