Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo).

Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.

Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine

Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.

Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa

Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.

Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.

Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.

Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]
Sawa mkuu. Lakini nina swali hapa. Kama zina take over na mwendo kasi mkubwa,zinapataje ajali? Hebu fafanua hapo. Maana kama zina take over na mwendo kasi ni rahisi kupita kwa wepesi na ku-over-take na kurudi mahala site yake haraka . Ajali nyingi zinatokea ksbb ya ku-over-take,mtu anachelewa kurudi site yake. Ndio maana kugongana uso kwa uso ni nyingi
 
Sawa mkuu. Lakini nina swali hapa. Kama zina take over na mwendo kasi mkubwa,zinapataje ajali? Hebu fafanua hapo. Maana kama zina take over na mwendo kasi ni rahisi kupita kwa wepesi na ku-over-take na kurudi mahala site yake haraka . Ajali nyingi zinatokea ksbb ya ku-over-take,mtu anachelewa kurudi site yake. Ndio maana kugongana uso kwa uso ni nyingi
Harrier hasa hizo Tako la nyani zina speed ya kawaida ya 180 ktk Dashboard, sema wanadai ni nyepesi kuliko BMW, L/Cruiser Nissan nk, na ina suspension inayoweza kufukia mashimo / bumps na makorongo, sasa ukiitumia vibaya ni lazima itakutupa tu.
Gari yoyote ajali ni wewe mwenyewe
 
Kweli mkuu wacha nifanye huo mchakato. tunakomaa na mjep utafikiri katuloga.
Mkuu unafikiri hatupendi kukaa ndani y hizo BMW basi....?[emoji848][emoji848][emoji848]
Uchumi wetu tu ndiyo unafanya tubanane hapo Japan....[emoji26][emoji26]

Juzi ka..Nissan kangu kalikuwa kanagonga miguu ya mbele balaa...nikaenda garage na 50,000/- ....nikanunua wishbone bushes 2 jumlisha ufundi na maji niliyokunywa nikiwa garage na bado nilibakiwa na CHANGE ya buku 5000/-

Sasa unaweza ukatafakari hapo [emoji867][emoji867]urahisi wa spare..ingekuwa Ulaya, ningepaki kwanza nitafute mbavu nene.

Hata mimi siku nikiwa na mbavu nene, nitakuja Ulaya.....napenda sana BMW na VW.[emoji848][emoji848]
 
Mkuu unafikiri hatupendi kukaa ndani y hizo BMW basi....?[emoji848][emoji848][emoji848]
Uchumi wetu tu ndiyo unafanya tubanane hapo Japan....[emoji26][emoji26]

Juzi ka..Nissan kangu kalikuwa kanagonga miguu ya mbele balaa...nikaenda garage na 50,000/- ....nikanunua wishbone bushes 2 jumlisha ufundi na maji niliyokunywa nikiwa garage na bado nilibakiwa na CHANGE ya buku 5000/-

Hata mimi siku nikiwa na mbavu nene, nitakuja Ulaya..[emoji848][emoji848]
😂😂😂😂😂😂😂
 
Mazoea yametuharibu mno
km mm siwezi achana na Mjapani, nilikata pipe ya sterling power ya Land cruiser GX na nipo ugenini Buguruni, nikaelekezwa Tabata sambusa, nimeikuta kwa 15,000 badala ya 170,000/ bei ya Toyota workshop Nyerere rd, sasa km BMW ningekamatwa na Tanroad au nigevutwa mpaka gereji na kuliacha hapo
 
Natamani kuingia huko niondokane na huyu mjapani, lakini watu wanatukatisha tamaa sana.
siamini kabisa km wanakulaumu
kwani watu wanayanunua na yameshuka bei, ni rahisi kutengeneza na spea zinaingiliana mfano tairi size 14, utafunga kwenye Noah, Pick-up, Corolla, Corona nk ukija fani za kupooza rejeta unaweza funga hata ya Suzuki nk hiyo ndiyo raha ya Toyota si ya kichoyo
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji109][emoji123]
siamini kabisa km wanakulaumu
kwani watu wanayanunua na yameshuka bei, ni rahisi kutengeneza na spea zinaingiliana mfano tairi size 14, utafunga kwenye Noah, Pick-up, Corolla, Corona nk ukija fani za kupooza rejeta unaweza funga hata ya Suzuki nk hiyo ndiyo raha ya Toyota si ya kichoyo

Jr[emoji769]
 
53186701_1694478164031982_709294491516796928_n.jpg

Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
3056987_orig.jpg
Mwanaume anaruhusiwa kuendesha hii Gari?
 
Back
Top Bottom