Tengeneza Njia
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 121
- 205
Wadau, hivi Serikali haikuona umuhimu wa kuunganisha masuala ya postal code na mifumo hii ya sensa?
Kama tayari anuani za makazi zipo kwenye system, huyu karani anayekuja kwenye makazi yetu alitakiwa kwanza akifika aingize ile anuani anayoikuta (kwenye milango yetu) au vibao vile walivyoweka kisha ku-pin (kama mtu unavyoweza kufanya kwenye google map etc.) hususani huku mjini - nafahamu kwamba vijijini inaweza kuwa ni changamoto kutokana na issue ya network.
Akisha-pin si zile details za awali zitatokea ndipo anakuwa ana uwezo wa kuendelea na kuuliza maswali mengine. Lakini ninachokiona mimi, bado tunasua sua na kama vile serikali haina uhakika na mifumo inayojitengenezea na mambo kama haya yanatengeneza mwanya wa watendaji kubuni miradi mingi yenye matumizi ya pesa yasiyo na tija.
Kama tayari anuani za makazi zipo kwenye system, huyu karani anayekuja kwenye makazi yetu alitakiwa kwanza akifika aingize ile anuani anayoikuta (kwenye milango yetu) au vibao vile walivyoweka kisha ku-pin (kama mtu unavyoweza kufanya kwenye google map etc.) hususani huku mjini - nafahamu kwamba vijijini inaweza kuwa ni changamoto kutokana na issue ya network.
Akisha-pin si zile details za awali zitatokea ndipo anakuwa ana uwezo wa kuendelea na kuuliza maswali mengine. Lakini ninachokiona mimi, bado tunasua sua na kama vile serikali haina uhakika na mifumo inayojitengenezea na mambo kama haya yanatengeneza mwanya wa watendaji kubuni miradi mingi yenye matumizi ya pesa yasiyo na tija.