Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Tunapoikumbuka Aprili 26, ya mwaka 1964, tujikite zaidi katika kuepukana au kumaliza kabisa zinazoitwa kero za Muungano kwa kufanya mojawapo ya yafuatayo:
Mosi, tuwe na nchi moja na serikali moja, yaani Muungano kamili (complete union). Tuachane kabisa na Muungano huu wa kubanana, kufinyana, kupunjana na kulaumiana.
Pili, Tanganyika na Zanzibar ziwe nchi kamili zenye mamlaka kamili na kubakia majirani wema wa kihistoria na kindugu.
Hili ndilo suluhisho bora na la kudumu la Muungano huu usioisha kero.
Mosi, tuwe na nchi moja na serikali moja, yaani Muungano kamili (complete union). Tuachane kabisa na Muungano huu wa kubanana, kufinyana, kupunjana na kulaumiana.
Pili, Tanganyika na Zanzibar ziwe nchi kamili zenye mamlaka kamili na kubakia majirani wema wa kihistoria na kindugu.
Hili ndilo suluhisho bora na la kudumu la Muungano huu usioisha kero.