Tanganyika Leo
Member
- Sep 12, 2022
- 9
- 8
Mbona Zanzibar ina nyimbo yake ya taifa na bendera yake ya taifa naMfano leo Wales 🏴 na England 🇬🇧 wameimba nyimbo zao za Taifa japo wapo kwenye muungano wa 'United Kingdom'.
Mapendekezo yangu hapa nyumbani Tanzania 🇹🇿 tufanye hivo pia kwa Tanganyika na Zanzibar, hii itaonesha uhalisia na chimbuko la kila mmoja chini ya kivuli cha Muungano.
#kitabukinakurasanyingi
✍🏾 Tanganyika Leo.
Tanganyika hawana bendera rekebisha kauli haraka.Mbona Zanzibar ina nyimbo yake ya taifa na bendera yake ya taifa na
Tanganyika hivyo hivyo. eb kuwa straight unaitaji mabadiliko yapi sheikhView attachment 2431290
Bendera ya Zanzibar.
View attachment 2431291
Bendera ya Tanganyika( Tanzania).
Bendera ya Tanganyika IPO nyumbani Kwa MTIKILA!!Tanganyika hawana bendera rekebisha kauli haraka.
Kwani Tanganyika tunafaidika nini na muungano?Mfano leo Wales 🏴 na England 🇬🇧 wameimba nyimbo zao za Taifa japo wapo kwenye muungano wa 'United Kingdom'.
Mapendekezo yangu hapa nyumbani Tanzania 🇹🇿 tufanye hivo pia kwa Tanganyika na Zanzibar, hii itaonesha uhalisia na chimbuko la kila mmoja chini ya kivuli cha Muungano.
#kitabukinakurasanyingi
✍🏾 Tanganyika Leo.
Lakini sisi Wananchi wa Tanganyika hatuna.Bendera ya Tanganyika IPO nyumbani Kwa MTIKILA!!
Hakuna 🙄Kwani Tanganyika tunafaidika nini na muungano?
Tanganyika bendera wanayo sheikhTanganyika hawana bendera rekebisha kauli haraka.
Iko wapi bwasheetanganyika bendera wanayo sheikh
Tunalinda magaidi wasituvamie kupitia baharini😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Kwani Tanganyika tunafaidika nini na muungano?
Nami kwa mara ya kwanza niliona Bendera ya Taifa langu la Tanganyika, nyumbani kwa Mtikila.Bendera ya Tanganyika IPO nyumbani Kwa MTIKILA!!
Inapepea wapi.View attachment 2431700
hii hapa una jengine la kuuliza
Una mwanasheria au utajitetea mwenyewe?Mfano leo Wales 🏴 na England 🇬🇧 wameimba nyimbo zao za Taifa japo wapo kwenye muungano wa 'United Kingdom'.
Mapendekezo yangu hapa nyumbani Tanzania 🇹🇿 tufanye hivo pia kwa Tanganyika na Zanzibar, hii itaonesha uhalisia na chimbuko la kila mmoja chini ya kivuli cha Muungano.
#kitabukinakurasanyingi
✍🏾 Tanganyika Leo.
kwani sheikh unataka kujua bendera ya tanganyika au unataka kujua inapepea wapi mbona hauelwekiInapepea wapi.
Anamaanisha kama ipo sandukuni haina faidakwani sheikh unataka kujua bendera ya tanganyika au unataka kujua inapepea wapi mbona hauelweki