Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
Bendera ya Tanganyika ipo hivyo bado itakuwa na thamani na itatumika kama kuna mabadiliko yoyote yatatokea mda wowote.Anamaanisha kama ipo sandukuni haina faida
Mara kadhaa nimeenda Visiwani Zanzibar na nafahamu umuhimu wa Muungano, hoja yangu ni nyimbo za Taifa.Bahati mbaya umejifungia Tanganyika, siku moja vuka bahari uingie Zanzibar ndipo utaelewa, kuna muungano wa kitu gani!.
Zipo faida, nitazielezea kwenye maandiko yangu huko mbele.Kwani Tanganyika tunafaidika nini na muungano?
Nitahitaji msaada wenu wadau.Una mwanasheria au utajitetea mwenyewe?
Ziko faida za Muungano, maandiko yajayo nitazielezea.Kwani Tanganyika tunafaidika nini na muungano?
Tanganyika haina bendera yake,Tanganyika hivyo hivyo
muungano ukivunjwa leo hii Tanzania bara inarudi katika jina lipi maana jina la Tanzania limezaliwa kutokana na muunganiko wa nchi mbiliTanganyika haina bendera yake,
bendera ya tanganyika ilishazikwa mwaka 1964
Unaweza kuwa unakwenda kila siku lakini hujui kitu, although unasema umeenda how come hujui km Zanzibari wana wimbo wao wa taifa na wana maamuzi yao kikatiba ambayo hawaingiliwi na nyau yeyote!.Mara kadhaa nimeenda Visiwani Zanzibar na nafahamu umuhimu wa Muungano, hoja yangu ni nyimbo za Taifa.
Ule ya Zanzibar na Tanganyika pia.
Faida ni ule msemo "zidumu fikra za mwenyekiti"Kwani Tanganyika tunafaidika nini na muungano?
Kuvunjika muungano msahau yaani ni haiwezekanimuungano ukivunjwa leo hii Tanzania bara inarudi katika jina lipi maana jina la Tanzania limezaliwa kutokana na muunganiko wa nchi mbili
Tanganyika wanayo bendera yao.Tanganyika hawana bendera rekebisha kauli haraka.
ni swala la mda ulivunjika umoja wa sovieti itakuwa muungano sheikhKuvunjika muungano msahau yaani ni haiwezekani
Tunalinda magaidi wasituvamie kupitia bahariniπππππ€£π€£π€£π€£
Hiyo si faida ndogo eti
Lengo langu ni kujua bendera mahali ilipo.kwani sheikh unataka kujua bendera ya tanganyika au unataka kujua inapepea wapi mbona hauelweki
Iko wapi?Tanganyika wanayo bendera yao.
#MaendeleoHayanaChama
Bendera ya Tanganyika huru ni hii. ππΎππΎ. Uliyopost hapo juu ni bendera ya TanzaniaMbona Zanzibar ina nyimbo yake ya taifa na bendera yake ya taifa na
Tanganyika hivyo hivyo. eb kuwa straight unaitaji mabadiliko yapi sheikhView attachment 2431290
Bendera ya Zanzibar.
View attachment 2431291
Bendera ya Tanganyika( Tanzania).
Mkapimwe akiliTunalinda magaidi wasituvamie kupitia bahariniπππππ€£π€£π€£π€£
Hiyo si faida ndogo eti
Tuka,Mkapimwe akili