Maoni Yangu: Lema Mwanasiasa bora Afrika

Maoni Yangu: Lema Mwanasiasa bora Afrika

Unitman

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
511
Reaction score
671
Habari ndugu wanajamii forums

Nimekuwa nikifuatilia siasa za Tanzania na Afrika kwa muda mrefu takribani miaka 20.

Kinachonifurahisha kwa mwanasiasa yoyote ni uwezo wa kujenga hoja. Ukiangalia wanasiasa wengi hapa TZ kuanzia mwalimu Nyerere na uwezo wao wa kujenga hoja utaona ni kama mtu anayeangalia vipaji vya akina Ronaldo na Messi.

Kwa hapa TZ tumekuwa na wanasiasa Nguli wenye uwezo na ushawishi wa kujenga hoja. Mifano ya wanasiasa wa hivi karibuni kama Freeman Mbowe, Ibrahimu Lipumba, James Mbatia, Tundu Lisu, Sugu, Peter Msigwa, Wilbroad Slaa, John Heche, Zito Kabwe na wengine wengi bado utaona GOD BLESS JONATHAN LEMA anawazidi mbali saaana ukimuondoa Baba wa taifa la Tanzania mwalimu Nyerere.

Kwa ufupi huyu kijana ana sawa na akina Ronaldo na Messi na kiukweli baba yake mzazi atakuwa anamshukuru Mwenyezi Mungu kuzaa mtoto wa hivi.

Maendeleo hayana CHAMA.
 
Watu mna masihala yaani unamuweka Lema kwenye level za Mwalimu Nyerere. Ebu tuacheni tupumzike. Lema huyu anaejiita mkimbizi wa kisiasa 😁😁😁
 
Kamanda Godbless Lema. Namnukuu " ni dhambi kubwa sana kuwa muoga".
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Umekosea kumfananisha Nabii wa Mungu Godbless na hao wengine ambao ni binadamu wa kawaida .

Mtume na Nabii Lema amekwishatabiri vifo na mikasa kadhaa nchini Tanzania na unabii wake umetimia bila shaka , huyu siyo binadamu wa kawaida , ni Mtume wa Mungu
 
Aliulizwa swali hili kwenye mahojiano kwa njia ya mtandao wa Zoom na kituo fulani cha TV akajibu kuwa "ujasiri siyo kuwa mpumbavu. Unaona adui kakushikia bunduki eti u amuangalia tu kisa ni jasiri. Akasema hata Yesu pamoja na umungu wake alikimbilia Misri"
Sasa uwoga ni nini?
 
Umekosea kumfananisha Nabii wa Mungu Godbless na hao wengine ambao ni binadamu wa kawaida .

Mtume na Nabii Lema amekwishatabiri vifo na mikasa kadhaa nchini Tanzania na unabii wake umetimia bila shaka , huyu siyo binadamu wa kawaida , ni Mtume wa Mungu
Halafu ndio mnataka tuwape nchi[emoji23][emoji23][emoji23]dunia ina vibweka vya kila aina,huu ulioandika apa ndio upupu wa aina gan?
 
Aliulizwa swali hili kwenye mahojiano kwa njia ya mtandao wa Zoom na kituo fulani cha TV akajibu kuwa "ujasiri siyo kuwa mpumbavu. Unaona adui kakushikia bunduki eti u amuangalia tu kisa ni jasiri. Akasema hata Yesu pamoja na umungu wake alikimbilia Misri"
Ok basi tumuite jasiri muoga
 
Habari ndugu wanajamii forums

Nimekuwa nikifuatilia siasa za Tanzania na Afrika kwa muda mrefu takribani miaka 20.

Kinachonifurahisha kwa mwanasiasa yoyote ni uwezo wa kujenga hoja. Ukiangalia wanasiasa wengi hapa TZ kuanzia mwalimu Nyerere na uwezo wao wa kujenga hoja utaona ni kama mtu anayeangalia vipaji vya akina Ronaldo na Messi.

Kwa hapa TZ tumekuwa na wanasiasa Nguli wenye uwezo na ushawishi wa kujenga hoja. Mifano ya wanasiasa wa hivi karibuni kama Freeman Mbowe, Ibrahimu Lipumba, James Mbatia, Tundu Lisu, Sugu, Peter Msigwa, Wilbroad Slaa, John Heche, Zito Kabwe na wengine wengi bado utaona GOD BLESS JONATHAN LEMA anawazidi mbali saaana ukimuondoa Baba wa taifa la Tanzania mwalimu Nyerere.

Kwa ufupi huyu kijana ana sawa na akina Ronaldo na Messi na kiukweli baba yake mzazi atakuwa anamshukuru Mwenyezi Mungu kuzaa mtoto wa hivi.

Maendeleo hayana CHAMA.
Sio lema tu chadema ina vichwa sana. Hata JPM aliacha kuteua machawa akawapa nafasi akina Mashinji, Kafulila, Mollel, Katambi n.k hakuwa mjinga.

CHADEMA ndiko Hazina ya viongozi iliko
 
Aliulizwa swali hili kwenye mahojiano kwa njia ya mtandao wa Zoom na kituo fulani cha TV akajibu kuwa "ujasiri siyo kuwa mpumbavu. Unaona adui kakushikia bunduki eti u amuangalia tu kisa ni jasiri. Akasema hata Yesu pamoja na umungu wake alikimbilia Misri"
swadakta
 
Umekosea kumfananisha Nabii wa Mungu Godbless na hao wengine ambao ni binadamu wa kawaida .

Mtume na Nabii Lema amekwishatabiri vifo na mikasa kadhaa nchini Tanzania na unabii wake umetimia bila shaka , huyu siyo binadamu wa kawaida , ni Mtume wa Mungu
Mtumishi wa Mungu Lema Mungu ambariki sana
 
Lema ni mwizi wa magari,nadhani wewe itakuwa unashighilikia BAISKELI
 
Back
Top Bottom