Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

The bump

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
1,488
Reaction score
2,908
Mimi ni mtumiaji wa 5G router zote Airtel,voda na Tigo.

Ukweli katika hizi router 3 mitandao ya ukweli ambayo naweza mshauri mtu atumie ni miwili tu.

Airtel na Vodacom.

Tigo ni wezi sio unlimited wanakupa unlimited kwa speed uliyolipia kisha wakiona unakamua kweli kweli bando kwa limit walokuekea wanashusha speed up to 0.1kb/sec.

Hii speed itakua hovyo mpaka saa 6 usiku ikibadilika siku wana reset wanakuoa tena speed yako. Ukiendelea kupakua matonge unabugia ukifikisha limit yao wanakata tena mpk kesho yake.

Dont go for tigo...kama unaipenda pesa yako. Kwa mnaotaka LIMITED PACKAGe speed yao iko njema.

Airtel

Hawa ni pure unlimited hawana janja janja unaserereka utakavyo ila tu router yao ili i perform vizuri hakikisha haipati joto, ikipata joto ikichemka inaathiri speed kwakua ofisini kuna AC huwa naitega sehemu ambapo najua itapgwa barid haswa naiongezea na fan inakua baridi muda wote.

Ina perform vizuri sana na zaidi ninachoipendea airtel ni power bank hao ya router inayokupa uwezo wakuzurura na router yako kwa begi anywhere.

Go for airtel,na recommend.

Vodacom

HAwa wako poa sana tena wana pure unlimited ila na wao router yao hakikisha isipate joto ila kuna muda notification light inawaka tu red ujue isha heat unachotakiwa ni kui zima na kutulia dk 1 unaiwasha tena unaendelea kuserereka.

Voda wako njema hawana shida go for it... wana router yao ya NOKIA tamu sana kali mnoo..

Faida ya voda kwenye malipo mwezi ukiisha huduma inaendelea hawakati huduma unaweza usilipe hata miezi mi 3.

Ila Airtel na Tigo mwisho wa mwezi ukifika huduma inazima kama umeme wa tanesco.

Airtel ukifanya malipo inawaka on spot.. tigo mpka uwasiliane nao sjui nn ki ufupi TIGO NI HOVYO.
Voda wao nao ukisubiri wakuzimie ukifanya malipo lazima upge simu wakuwashie ila airtel ni ukishajiunga tu unasererekA..

VODA na TIGO kipengele kwenye kuwashiwa huduma utapga wee hadi ukome.
 
Kama taifa tunaelekea wapi? Sasa hivi ni saa 8 usiku mnene upo jamvin JF unachangia mada kweli hii ni sawa? Tendea mwili wako haki bana kuwa mfano mzuri kwa vizazi vijavyo kwa kupanua wigo mpana.

Nimekereka sana asee
Kama mtu yupo viti vilefu anapiga kamnyeso wikiend hii mzee ww jifungie mdani
 
Mimi ni mtumiaji wa 5G router zote Airtel,voda na Tigo.

Ukweli katika hizi router 3 mitandao ya ukweli ambayo naweza mshauri mtu atumie ni miwili tu.

Airtel na Vodacom.

Tigo ni wezi sio unlimited wanakupa unlimited kwa speed uliyolipia kisha wakiona unakamua kweli kweli bando kwa limit walokuekea wanashusha speed up to 0.1kb/sec.

Hii speed itakua hovyo mpaka saa 6 usiku ikibadilika siku wana reset wanakuoa tena speed yako. Ukiendelea kupakua matonge unabugia ukifikisha limit yao wanakata tena mpk kesho yake.

Dont go for tigo...kama unaipenda pesa yako. Kwa mnaotaka LIMITED PACKAGe speed yao iko njema.

Airtel

Hawa ni pure unlimited hawana janja janja unaserereka utakavyo ila tu router yao ili i perform vizuri hakikisha haipati joto, ikipata joto ikichemka inaathiri speed kwakua ofisini kuna AC huwa naitega sehemu ambapo najua itapgwa barid haswa naiongezea na fan inakua baridi muda wote.

Ina perform vizuri sana na zaidi ninachoipendea airtel ni power bank hao ya router inayokupa uwezo wakuzurura na router yako kwa begi anywhere.

Go for airtel,na recommend.

Vodacom

HAwa wako poa sana tena wana pure unlimited ila na wao router yao hakikisha isipate joto ila kuna muda notification light inawaka tu red ujue isha heat unachotakiwa ni kui zima na kutulia dk 1 unaiwasha tena unaendelea kuserereka.

Voda wako njema hawana shida go for it... wana router yao ya NOKIA tamu sana kali mnoo..

Faida ya voda kwenye malipo mwezi ukiisha huduma inaendelea hawakati huduma unaweza usilipe hata miezi mi 3.

Ila Airtel na Tigo mwisho wa mwezi ukifika huduma inazima kama umeme wa tanesco.

Airtel ukifanya malipo inawaka on spot.. tigo mpka uwasiliane nao sjui nn ki ufupi TIGO NI HOVYO.
Voda wao nao ukisubiri wakuzimie ukifanya malipo lazima upge simu wakuwashie ila airtel ni ukishajiunga tu unasererekA..

VODA na TIGO kipengele kwenye kuwashiwa huduma utapga wee hadi ukome.
Kwa router ya voda kwa mtu anayetaka kununua na kutumia ni shingap na garama zao za bando zikoje kwa mwezi
 
Mimi ni mtumiaji wa 5G router zote Airtel,voda na Tigo.

Ukweli katika hizi router 3 mitandao ya ukweli ambayo naweza mshauri mtu atumie ni miwili tu.

Airtel na Vodacom.

Tigo ni wezi sio unlimited wanakupa unlimited kwa speed uliyolipia kisha wakiona unakamua kweli kweli bando kwa limit walokuekea wanashusha speed up to 0.1kb/sec.

Hii speed itakua hovyo mpaka saa 6 usiku ikibadilika siku wana reset wanakuoa tena speed yako. Ukiendelea kupakua matonge unabugia ukifikisha limit yao wanakata tena mpk kesho yake.

Dont go for tigo...kama unaipenda pesa yako. Kwa mnaotaka LIMITED PACKAGe speed yao iko njema.

Airtel

Hawa ni pure unlimited hawana janja janja unaserereka utakavyo ila tu router yao ili i perform vizuri hakikisha haipati joto, ikipata joto ikichemka inaathiri speed kwakua ofisini kuna AC huwa naitega sehemu ambapo najua itapgwa barid haswa naiongezea na fan inakua baridi muda wote.

Ina perform vizuri sana na zaidi ninachoipendea airtel ni power bank hao ya router inayokupa uwezo wakuzurura na router yako kwa begi anywhere.

Go for airtel,na recommend.

Vodacom

HAwa wako poa sana tena wana pure unlimited ila na wao router yao hakikisha isipate joto ila kuna muda notification light inawaka tu red ujue isha heat unachotakiwa ni kui zima na kutulia dk 1 unaiwasha tena unaendelea kuserereka.

Voda wako njema hawana shida go for it... wana router yao ya NOKIA tamu sana kali mnoo..

Faida ya voda kwenye malipo mwezi ukiisha huduma inaendelea hawakati huduma unaweza usilipe hata miezi mi 3.

Ila Airtel na Tigo mwisho wa mwezi ukifika huduma inazima kama umeme wa tanesco.

Airtel ukifanya malipo inawaka on spot.. tigo mpka uwasiliane nao sjui nn ki ufupi TIGO NI HOVYO.
Voda wao nao ukisubiri wakuzimie ukifanya malipo lazima upge simu wakuwashie ila airtel ni ukishajiunga tu unasererekA..

VODA na TIGO kipengele kwenye kuwashiwa huduma utapga wee hadi ukome.
Vodacom router kuna namna ya kuiwasha onlime kama walikukatia kabisa connection mwisho wa mwezi, sikuwahk kufikiria router za tigo najua ni janja janja, airtel nilohofia speed,
 
Kwa router ya voda kwa mtu anayetaka kununua na kutumia ni shingap na garama zao za bando zikoje kwa mwezi
Router ya voda nnayotumia mimi ni NOKIA bei yake ni 950k router pekee.

Gharama za bando zipo tofauti kulingana na speed unayotaka kama utatumia unlimited zimeanzia 100k au kama ni limited vifurushi vipo check kwa simu yako
 
Vodacom router kuna namna ya kuiwasha onlime kama walikukatia kabisa connection mwisho wa mwezi, sikuwahk kufikiria router za tigo najua ni janja janja, airtel nilohofia speed,
Sijajua namna ya kuiwasha,inawezekana kumbe? Airtel speed sio mbaya naitumia mwezi huu sijalipia voda airtel inanipa burudan tu
 
Mimi ni mtumiaji wa 5G router zote Airtel,voda na Tigo.

Ukweli katika hizi router 3 mitandao ya ukweli ambayo naweza mshauri mtu atumie ni miwili tu.

Airtel na Vodacom.

Tigo ni wezi sio unlimited wanakupa unlimited kwa speed uliyolipia kisha wakiona unakamua kweli kweli bando kwa limit walokuekea wanashusha speed up to 0.1kb/sec.

Hii speed itakua hovyo mpaka saa 6 usiku ikibadilika siku wana reset wanakuoa tena speed yako. Ukiendelea kupakua matonge unabugia ukifikisha limit yao wanakata tena mpk kesho yake.

Dont go for tigo...kama unaipenda pesa yako. Kwa mnaotaka LIMITED PACKAGe speed yao iko njema.

Airtel

Hawa ni pure unlimited hawana janja janja unaserereka utakavyo ila tu router yao ili i perform vizuri hakikisha haipati joto, ikipata joto ikichemka inaathiri speed kwakua ofisini kuna AC huwa naitega sehemu ambapo najua itapgwa barid haswa naiongezea na fan inakua baridi muda wote.

Ina perform vizuri sana na zaidi ninachoipendea airtel ni power bank hao ya router inayokupa uwezo wakuzurura na router yako kwa begi anywhere.

Go for airtel,na recommend.

Vodacom

HAwa wako poa sana tena wana pure unlimited ila na wao router yao hakikisha isipate joto ila kuna muda notification light inawaka tu red ujue isha heat unachotakiwa ni kui zima na kutulia dk 1 unaiwasha tena unaendelea kuserereka.

Voda wako njema hawana shida go for it... wana router yao ya NOKIA tamu sana kali mnoo..

Faida ya voda kwenye malipo mwezi ukiisha huduma inaendelea hawakati huduma unaweza usilipe hata miezi mi 3.

Ila Airtel na Tigo mwisho wa mwezi ukifika huduma inazima kama umeme wa tanesco.

Airtel ukifanya malipo inawaka on spot.. tigo mpka uwasiliane nao sjui nn ki ufupi TIGO NI HOVYO.
Voda wao nao ukisubiri wakuzimie ukifanya malipo lazima upge simu wakuwashie ila airtel ni ukishajiunga tu unasererekA..

VODA na TIGO kipengele kwenye kuwashiwa huduma utapga wee hadi ukome.
Hapo kwenye tigo naunga mkono hoja Cc ephen_
 
Kwa router ya voda kwa mtu anayetaka kununua na kutumia ni shingap na garama zao za bando zikoje kwa mwezi
20240817_102826.jpg
 
Back
Top Bottom