The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
Mimi ni mtumiaji wa 5G router zote Airtel,voda na Tigo.
Ukweli katika hizi router 3 mitandao ya ukweli ambayo naweza mshauri mtu atumie ni miwili tu.
Airtel na Vodacom.
Tigo ni wezi sio unlimited wanakupa unlimited kwa speed uliyolipia kisha wakiona unakamua kweli kweli bando kwa limit walokuekea wanashusha speed up to 0.1kb/sec.
Hii speed itakua hovyo mpaka saa 6 usiku ikibadilika siku wana reset wanakuoa tena speed yako. Ukiendelea kupakua matonge unabugia ukifikisha limit yao wanakata tena mpk kesho yake.
Dont go for tigo...kama unaipenda pesa yako. Kwa mnaotaka LIMITED PACKAGe speed yao iko njema.
Airtel
Hawa ni pure unlimited hawana janja janja unaserereka utakavyo ila tu router yao ili i perform vizuri hakikisha haipati joto, ikipata joto ikichemka inaathiri speed kwakua ofisini kuna AC huwa naitega sehemu ambapo najua itapgwa barid haswa naiongezea na fan inakua baridi muda wote.
Ina perform vizuri sana na zaidi ninachoipendea airtel ni power bank hao ya router inayokupa uwezo wakuzurura na router yako kwa begi anywhere.
Go for airtel,na recommend.
Vodacom
HAwa wako poa sana tena wana pure unlimited ila na wao router yao hakikisha isipate joto ila kuna muda notification light inawaka tu red ujue isha heat unachotakiwa ni kui zima na kutulia dk 1 unaiwasha tena unaendelea kuserereka.
Voda wako njema hawana shida go for it... wana router yao ya NOKIA tamu sana kali mnoo..
Faida ya voda kwenye malipo mwezi ukiisha huduma inaendelea hawakati huduma unaweza usilipe hata miezi mi 3.
Ila Airtel na Tigo mwisho wa mwezi ukifika huduma inazima kama umeme wa tanesco.
Airtel ukifanya malipo inawaka on spot.. tigo mpka uwasiliane nao sjui nn ki ufupi TIGO NI HOVYO.
Voda wao nao ukisubiri wakuzimie ukifanya malipo lazima upge simu wakuwashie ila airtel ni ukishajiunga tu unasererekA..
VODA na TIGO kipengele kwenye kuwashiwa huduma utapga wee hadi ukome.
Ukweli katika hizi router 3 mitandao ya ukweli ambayo naweza mshauri mtu atumie ni miwili tu.
Airtel na Vodacom.
Tigo ni wezi sio unlimited wanakupa unlimited kwa speed uliyolipia kisha wakiona unakamua kweli kweli bando kwa limit walokuekea wanashusha speed up to 0.1kb/sec.
Hii speed itakua hovyo mpaka saa 6 usiku ikibadilika siku wana reset wanakuoa tena speed yako. Ukiendelea kupakua matonge unabugia ukifikisha limit yao wanakata tena mpk kesho yake.
Dont go for tigo...kama unaipenda pesa yako. Kwa mnaotaka LIMITED PACKAGe speed yao iko njema.
Airtel
Hawa ni pure unlimited hawana janja janja unaserereka utakavyo ila tu router yao ili i perform vizuri hakikisha haipati joto, ikipata joto ikichemka inaathiri speed kwakua ofisini kuna AC huwa naitega sehemu ambapo najua itapgwa barid haswa naiongezea na fan inakua baridi muda wote.
Ina perform vizuri sana na zaidi ninachoipendea airtel ni power bank hao ya router inayokupa uwezo wakuzurura na router yako kwa begi anywhere.
Go for airtel,na recommend.
Vodacom
HAwa wako poa sana tena wana pure unlimited ila na wao router yao hakikisha isipate joto ila kuna muda notification light inawaka tu red ujue isha heat unachotakiwa ni kui zima na kutulia dk 1 unaiwasha tena unaendelea kuserereka.
Voda wako njema hawana shida go for it... wana router yao ya NOKIA tamu sana kali mnoo..
Faida ya voda kwenye malipo mwezi ukiisha huduma inaendelea hawakati huduma unaweza usilipe hata miezi mi 3.
Ila Airtel na Tigo mwisho wa mwezi ukifika huduma inazima kama umeme wa tanesco.
Airtel ukifanya malipo inawaka on spot.. tigo mpka uwasiliane nao sjui nn ki ufupi TIGO NI HOVYO.
Voda wao nao ukisubiri wakuzimie ukifanya malipo lazima upge simu wakuwashie ila airtel ni ukishajiunga tu unasererekA..
VODA na TIGO kipengele kwenye kuwashiwa huduma utapga wee hadi ukome.