Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

Mimi hawa wote nawaona wezi tu,; ngoja niendelee kutumia Halotel modem kwa vifurushi visivyokuwa na ukomo
 
Just use prepaid model of payment
 
Kuwa na router za kampuni zote hizo ni mzigo. Kwanini usiwe na router moja universal na ukawa una badili simcards? 🤔
Nina ofisi zaidi ya 3 kila ofisi ina router 1..

Hizi ni maalumu kwa ajili ya kazi ofisini sio kwamba router 3 kwa matumizi sehemu 1 hapana.

Ofisi niliopo mimi ndio natumia Router inayo perform vizuri, ofisi zingine nimewaekea router hizo zingine.
 
Mimi hawa wote nawaona wezi tu,; ngoja niendelee kutumia Halotel modem kwa vifurushi visivyokuwa na ukomo
Halotel wana router? U limited yao ipoje?
 
Nina ofisi zaidi ya 3 kila ofisi ina router 1..

Hizi ni maalumu kwa ajili ya kazi ofisini sio kwamba router 3 kwa matumizi sehemu 1 hapana.

Ofisi niliopo mimi ndio natumia Router inayo perform vizuri, ofisi zingine nimewaekea router hizo zingine.
Wewe walipa kiasi gani per site?
Kwa matumizi ya ofisi the cheapest ni ttcl na wapo vizuri. Hata hao wengine hununua bandwidth,marine fiber optic cable(EASSY&SEACOM) inayohodhiwa na ttcl!
For mobile broadband I recommend Halotel wapo hadi vijijini!
 
Wewe walipa kiasi gani per site?
Kwa matumizi ya ofisi the cheapest ni ttcl na wapo vizuri. Hata hao wengine hununua bandwidth,marine fiber optic cable(EASSY&SEACOM) inayohodhiwa na ttcl!
For mobile broadband I recommend Halotel wapo hadi vijijini!
Hamna asiependa cheapest service shida ni upatikanaji wa TTCL nenda ofisi zao wambie unahitaji huduma uone kona kona zake.. sio rahisi kama ilivyo kwa hawa wengine.
 
Hamna asiependa cheapest service shida ni upatikanaji wa TTCL nenda ofisi zao wambie unahitaji huduma uone kona kona zake.. sio rahisi kama ilivyo kwa hawa wengine.
Kuwa na backup ni Sawa. Lakini Fanya application ya ttcl itafika muda watakuunganisha tu
 
Kuwa na backup ni Sawa. Lakini Fanya application ya ttcl itafika muda watakuunganisha tu
Time consuming.. watu hela tuzitafute kwa shida na kupata huduma ya kulipia napo utafute kwa shida.

ingekua ni free ningehangaika ila kama ni pesa tu, acha tutumie kinachopatikana kwa urahisi Mkuu.

MJini Muda Ni PESA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…