Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamtakia mikosi dada wa watu...Acheni aendelee kuwa covered mpaka muda sahihi...Ila alilolipanga Mungu, mwanadamu hawezi kupangua, na mimi nasema AMENPokeeni Maono yangu haya na wekeni kumbukumbu sahihi,
<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>
View attachment 2432379
Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua,
Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni,
Sababu? Wivu? Rais huwa anawekwa na Mungu. Mungu akiamua jambo huwezi kupinga
Tutamfikilia ikifika2030 maana bado tupo na Rais Dkt. Samia SuluhuPokeeni Maono yangu haya na wekeni kumbukumbu sahihi,
<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>
View attachment 2432379
Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua,
Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni,
Wanaomtaja huyo betina U-CEO ndo wamesababisha Mgaso gang na Walamba asali kuwekeza nguvu Kwa Sugu Ili amngoe jimboni.Unamtakia mikosi dada wa watu...Acheni aendelee kuwa covered mpaka muda sahihi...Ila alilolipanga Mungu, mwanadamu hawezi kupangua, na mimi nasema AMEN
Lakini wajue tu huyo ni binti wa kifalme, isije ika boomerang....Do not touch my anointed!Wanaomtaja huyo betina U-CEO ndo wamesababisha Mgaso gang na Walamba asali kuwekeza nguvu Kwa Sugu Ili amngoe jimboni.
Tusubiri.
Kuna wizi ulitokea? Wapi huko?.Ule wizi wa Kura kwenye mabox Ni Mungu ndo aliiba?
Kwamba betina ni Binti wa kifalme?Lakini wajue tu huyo ni binti wa kifalme, isije ika boomerang....Do not touch my anointed!
Kunapakugusa na kunapakuchukua tahadhari hata ulimwengu wa mapepo na shetani unajua hilo!
Pokeeni Maono yangu haya na wekeni kumbukumbu sahihi,
<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>
View attachment 2432379
Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua,
Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni,