MAONO: Baada ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Dkt. Tulia Ackson. Mbingu zimeridhia na dunia itapokea

MAONO: Baada ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Dkt. Tulia Ackson. Mbingu zimeridhia na dunia itapokea

Nasubiri comment ya mtabiri wa ajali ya ndege au maoni ya mkuu Paschal Mayala. Aliwahi kuchambua majina 10 ya Rais ajaye tukabeza jina moja. Kilichotokea baada ya uchaguzi, pia kuna mkuu mkoja alichambua jinsi Tz itakavyotawaliwa awamu ya 5 kwa mikiki na mikakati hadi unaweza kudhani uzi ulifanyiwa ukarabati
 
Pokeeni Maono yangu haya na wekeni kumbukumbu sahihi,

<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>

View attachment 2432379

Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua,

Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni,
Unamtakia mikosi dada wa watu...Acheni aendelee kuwa covered mpaka muda sahihi...Ila alilolipanga Mungu, mwanadamu hawezi kupangua, na mimi nasema AMEN
 
Pokeeni Maono yangu haya na wekeni kumbukumbu sahihi,

<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>

View attachment 2432379

Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua,

Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni,
Tutamfikilia ikifika2030 maana bado tupo na Rais Dkt. Samia Suluhu
 
Mm bado na mfumo dume na mfumo wa Mungu mwanamke hafai kua kiongozi uzungu tu unatuharibu majukumua ya mwanamke ni mama wa nyumbani wanaume hebu tuacheni kupingana na nature ..ndo maana malezi bora yameharibika kwa wanawake kuacha wajibu wao...leo mashoga kibao.
 
Unamtakia mikosi dada wa watu...Acheni aendelee kuwa covered mpaka muda sahihi...Ila alilolipanga Mungu, mwanadamu hawezi kupangua, na mimi nasema AMEN
Wanaomtaja huyo betina U-CEO ndo wamesababisha Mgaso gang na Walamba asali kuwekeza nguvu Kwa Sugu Ili amngoe jimboni.

Tusubiri.
 
Wanaomtaja huyo betina U-CEO ndo wamesababisha Mgaso gang na Walamba asali kuwekeza nguvu Kwa Sugu Ili amngoe jimboni.

Tusubiri.
Lakini wajue tu huyo ni binti wa kifalme, isije ika boomerang....Do not touch my anointed!
Kunapakugusa na kunapakuchukua tahadhari hata ulimwengu wa mapepo na shetani unajua hilo!
 
Tuombe uzima. Ni kweli huyu dada naona kama ana misimamo flani flani, pia sio fisadi (hivyo anafaa). Japo atawajaza Wanyakyusa serikalini.


YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI wa ulimwengu
 
Ulimwengu wa giza uko weak sana sana...Huwa unajivunja wenyewe kwa mikono yake...God of heavens, I adore and worship You because you are able and Mighty, man of war...You teaches our fingers to battle...Let your will be done on earth as it is in heaven, let the devil know that we are the Royal Priest hood, Children of the King who is above all kings...Principalities and powers must bow at the mentions of oir names, AMEN!
 
Ule wizi wa Kura kwenye mabox Ni Mungu ndo aliiba?
Kuna wizi ulitokea? Wapi huko?.

Anyway, Mungu huwa ana standards zake alizojiwekea ambazo mwanadamu hawezi kuziingilia. Ndiyo maama akaweka standards za wanadamu wote kuzaliwa na hatimaye wote kufa.

Assuming ananipa mimi mamlaka ya kuingilia standard zake, katika hili ningebakiza ile ya kuzaliwa tu halafu ile ya kufa ningeondoa MILELE

Mungu ana standards zake ambazo ameziweka kwa ajili yake tu na bila kujali wewe utaziona nzuri au mbaya. Mungu anao uwezo wa kuangamiza hata Taifa zima kwa ajili ya mtu mmoja; huwa hana demokrasia. Anaweza akaamua kuipiga Tanzania nzima kisa tu mmecheza na mtu wake mmoja tu aliyeamua kumuweka madarakani. Nadhani umenielewa
 
Pokeeni Maono yangu haya na wekeni kumbukumbu sahihi,

<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>

View attachment 2432379

Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua,

Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni,

Acheni utani. Urais unadharauliwa Sana.
 
Back
Top Bottom