MAONO: Baada ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Dkt. Tulia Ackson. Mbingu zimeridhia na dunia itapokea

MAONO: Baada ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Dkt. Tulia Ackson. Mbingu zimeridhia na dunia itapokea

Kuna wizi ulitokea? Wapi huko?.

Anyway, Mungu huwa ana standards zake alizojiwekea ambazo mwanadamu hawezi kuziingilia. Ndiyo maama akaweka standards za wanadamu wote kuzaliwa na hatimaye wote kufa.

Assuming ananipa mimi mamlaka ya kuingilia standard zake, katika hili ningebakiza ile ya kuzaliwa tu halafu ile ya kufa ningeondoa MILELE

Mungu ana standards zake ambazo ameziweka kwa ajili yake tu na bila kujali wewe utaziona nzuri au mbaya. Mungu anao uwezo wa kuangamiza hata Taifa zima kwa ajili ya mtu mmoja; huwa hana demokrasia. Anaweza akaamua kuipiga Tanzania nzima kisa tu mmecheza na mtu wake mmoja tu aliyeamua kumuweka madarakani. Nadhani umenielewa

Na Mungu anaweza kumtoa uhai Rais mmoja tu aliyewaumiza watanzania.
 
CCM akili yao ni kuugawana Urais, akitoka nani aje nani - masuala ya wanalipelekwa wapi Taifa hilo haliwahusu. Sasa mwizi wa kura jimboni ndo aje kuwa Rais wetu, hebu tuwe serious kidogo watanzania.
 
Unamtakia mikosi dada wa watu...Acheni aendelee kuwa covered mpaka muda sahihi...Ila alilolipanga Mungu, mwanadamu hawezi kupangua, na mimi nasema AMEN

Punguzeni kumuhusisha Mungu na ujinga ni laana.
 
1541AF84-2EC4-4646-B3A7-9B2F53A71680.jpeg
 
Mnyakyusa wampe nchi hii thubutu! Muulizeni Mwandosya
 
Pokeeni Maono yangu haya na wekeni kumbukumbu sahihi,

<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>


Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua.

Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni.
 

Attachments

  • E909394C-BA6E-45B1-AB24-D3F24FC5CA01.jpeg
    E909394C-BA6E-45B1-AB24-D3F24FC5CA01.jpeg
    45.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom