Maono: Kati ya Simba na Yanga kuna timu moja leo itafungwa!

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mimi ni miingoni mwa watu wenye maono sana, leo timu mbili za kariakoo zinacheza katika michezo tofauti.

Yanga atakuwa anamkaribisha Geita Gold katika dimba la Mkapa, katika mchezo wa Azam Sports Federation.

Simba itashuka dimbani Ushirika Moshi kuwakabili maafande wa Polisi katika muendelezo wa NBC PL.

Nina maono, mmoja wapo kati ya Simba na Yanga atafungwa na kushangaza wengi. Ila sijajua ni timu gani itafungwa tusubirie dakika 90 katika viwanja hivyo viwili
 
Sasa kama na wewe mwenye maono haujui, umeanzisha uzi wa nini? Si bora ungekaa na maono yako tukabaki kusubiri dakika 90 za mchezo.
 
Dah! Mkuu , umetokea sayari gani wewe?Tuanzie hapo kwanza.
 
eti una maono halafu hujui........ pumbwaaafuuuu!!!!
 
Sasa kama na wewe mwenye maono haujui, umeanzisha uzi wa nini? Si bora ungekaa na maono yako tukabaki kusubiri dakika 90 za mchezo.
Acha kiherehere sio lazma ukoment
 
Huyu Teko Modise alikuwa anakichafua.

Siku hizi huwa anafanya uchambuzi Super Sport kwenye PSL na AFCON nilimuona pia.
 
Siyo lazima.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…