Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.
To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.
To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?