Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Huyo anatakiwa chadema ndo wanaoimba #2020twendenamembe. Sijui wamepatwa na Nini?Kwani muda umeshaisha wa kuchukua form za kugombea urais huko CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anatakiwa chadema ndo wanaoimba #2020twendenamembe. Sijui wamepatwa na Nini?Kwani muda umeshaisha wa kuchukua form za kugombea urais huko CCM?
Fomu ipo moja tu ya ccm hao wengine wakatoe photocopy.Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.
To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
Unataka achukue fomu kupitia chama gani?Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.
To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
Ukishazoea kuabudiwa ni ngumu kuishi bila kuabudiwa utakufa mapema.Sio mchezo ni jinsi gani inaonesha kuwa jamaa anapenda sana madaraka na kumuofia sana Membe kama haya usemayo ni kweli.
Zipo ngapi fomu kwaniZanziba raisi anamaliza muda hivyo wagombea watakuwa wengi,
Huku bara Membe alimpuuza katibu mkuu baada ya kuitwa, sasa anaona aibu kufuata fomu
Ndio kilichobaki hiko sasa ingawa kishingo upande lakini acha tusage meno kwa mara nyingine.Ukishazoea kuabudiwa ni ngumu kuishi bila kuabudiwa utakufa mapema.
Tusubirie tu mnyoosho wa awamu ya pili tulimie kucha sasa
Pata Picha ndio Chadema Leo hii wangeprint na wao Form moja kisha akapewa mgombea wao tu.....halafu huyo Mgombea angekua The Freeman! Dah tusingelala wallah. Ila wao wote wamefyata mikia yao kama mbwa koko wa kijijini kwetu
Muda upo ila fomu ndio hazipoKwani muda umeshaisha wa kuchukua form za kugombea urais huko CCM?
Mara nyingine au forever, maana watu awajielewi Kama wamerogwa vile.Wanayakimbilia mateso yao.Ndio kilichobaki hiko sasa ingawa kishingo upande lakini acha tusage meno kwa mara nyingine.
Ngoja tusubiri tuone. Ila kwa kiasi fulani naona kimya maana tangu litoke tamko la kufukuzwa chamani amekuwa kimya sanaMh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
🤣🤣🤣🤣🤣Mara nyingine au forever, maana watu awajielewi Kama wamerogwa vile.Wanayakimbilia mateso yao.
Kama huna nguvu Bora kuvuka boda
Hapana, sio kweli, kaa kimya kama huelewiMbona walishaprint moja tu ya lowassa 2015
Uchaguzi uliopita mliprint copy ngapi mkuu?na walichukua wangapi?au ndo mambo ya nyaniPata Picha ndio Chadema Leo hii wangeprint na wao Form moja kisha akapewa mgombea wao tu.....halafu huyo Mgombea angekua The Freeman! Dah tusingelala wallah. Ila wao wote wamefyata mikia yao kama mbwa koko wa kijijini kwetu
Tamaa yake si urais. Anaweza kuchukua hata zanzibar sio neno😂😂Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.
To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
Mbona ya uenyekit ilitoka moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pata Picha ndio Chadema Leo hii wangeprint na wao Form moja kisha akapewa mgombea wao tu.....halafu huyo Mgombea angekua The Freeman! Dah tusingelala wallah. Ila wao wote wamefyata mikia yao kama mbwa koko wa kijijini kwetu
Wakaharibu na printerMbona ya uenyekit ilitoka moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]