Uchaguzi 2020 Maono, malengo, matarajio ya Membe kuwania Urais yameisha rasmi?

Uchaguzi 2020 Maono, malengo, matarajio ya Membe kuwania Urais yameisha rasmi?

Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.

Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.

Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.

To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
Fomu ipo moja tu ya ccm hao wengine wakatoe photocopy.
 
Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.

Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.

Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.

To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
Unataka achukue fomu kupitia chama gani?
 
Sio mchezo ni jinsi gani inaonesha kuwa jamaa anapenda sana madaraka na kumuofia sana Membe kama haya usemayo ni kweli.
Ukishazoea kuabudiwa ni ngumu kuishi bila kuabudiwa utakufa mapema.
Tusubirie tu mnyoosho wa awamu ya pili tulimie kucha sasa
 
Mbona walishaprint moja tu ya lowassa 2015
Pata Picha ndio Chadema Leo hii wangeprint na wao Form moja kisha akapewa mgombea wao tu.....halafu huyo Mgombea angekua The Freeman! Dah tusingelala wallah. Ila wao wote wamefyata mikia yao kama mbwa koko wa kijijini kwetu
 
Kama ana ndoto hiyo si anaweza kugombea kupitia chama chochote kama huko ccm wamembana.
 
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Ngoja tusubiri tuone. Ila kwa kiasi fulani naona kimya maana tangu litoke tamko la kufukuzwa chamani amekuwa kimya sana
 
Pata Picha ndio Chadema Leo hii wangeprint na wao Form moja kisha akapewa mgombea wao tu.....halafu huyo Mgombea angekua The Freeman! Dah tusingelala wallah. Ila wao wote wamefyata mikia yao kama mbwa koko wa kijijini kwetu
Uchaguzi uliopita mliprint copy ngapi mkuu?na walichukua wangapi?au ndo mambo ya nyani
 
Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.

Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.

Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.

To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
Tamaa yake si urais. Anaweza kuchukua hata zanzibar sio neno😂😂
 
Pata Picha ndio Chadema Leo hii wangeprint na wao Form moja kisha akapewa mgombea wao tu.....halafu huyo Mgombea angekua The Freeman! Dah tusingelala wallah. Ila wao wote wamefyata mikia yao kama mbwa koko wa kijijini kwetu
Mbona ya uenyekit ilitoka moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
IMG_20200625_182150.jpg
 
Back
Top Bottom