Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Ok poapoa broo!!Ndio maana kuna mahali nimesema na ku admit kabisa [sina uhakika na hilo]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok poapoa broo!!Ndio maana kuna mahali nimesema na ku admit kabisa [sina uhakika na hilo]
Nilisikia waliprinti fomu moja tu na printa pamoja na kifaa kilichotumika kuchapa hiyo fomu viliharibiwa kabisa
Na mlango wa ofisi ukatiwa kufuli?[sina uhakika na hili]
Tunashuhudia zanzibar idadi ikizidi kuongezeka
Mkuu bora abaki na hiyo sifa ya kuwa waziri na kutumikia taasisi nyeti ya usalama wa taifa.Ushauri mzuri ila kugombea pia sio kuharibu heshima. Ni pamoja na kuongeza CV na kuwa mmoja wa watu wanaoingia ktk historia ya taifa hili, historia itakayo somwa na kusimuliwa kizazi hata kizazi
Ila kweli buana unaweza shangaa voicenote zikaanza kuvujishwa kwa wingi ili lengo uchafuke zaidiMkuu bora abaki na hiyo sifa ya kuwa waziri na kutumikia taasisi nyeti ya usalama wa taifa.
kuliko kwenda kuoga matusi na dharau kwenye majukwaa ya siasa na watu ambao hata kusoma na kiandika hawajui na kupelekea kushusha hadhi yake eti kwa kutafuta CV ya kugombea urais.
Form ilitoka moja tuu na ishajazwa sasa kama anataka aende kwa mwenyekiti wa chama akachukue hiyo iliojazwa akatoe kopiKwani muda umeshaisha wa kuchukua form za kugombea urais huko CCM?
Hiyo ni habari iliopo na kama wiki 2 nyuma nilileta hizo tetesi humu ila mods wakapitia ule uzi fasta kuufutaNilisikia waliprinti fomu moja tu na printa pamoja na kifaa kilichotumika kuchapa hiyo fomu viliharibiwa kabisa
Na mlango wa ofisi ukatiwa kufuli?[sina uhakika na hili]
Tunashuhudia zanzibar idadi ikizidi kuongezeka
Hiyo ni habari iliopo na kama wiki 2 nyuma nilileta hizo tetesi humu ila mods wakapitia ule uzi fasta kuufutaNilisikia waliprinti fomu moja tu na printa pamoja na kifaa kilichotumika kuchapa hiyo fomu viliharibiwa kabisa
Na mlango wa ofisi ukatiwa kufuli?[sina uhakika na hili]
Tunashuhudia zanzibar idadi ikizidi kuongezeka
Yap ,,,ukitaka wewe Mr IQ mtaani kwenu yajulikane mabaya yako gombea hata uwenyekiti wa mtaa.basi utashangaa watu wanatoa mpaka mambo yako ya chumbani ya mwaka 2009 ilhali wewe mwenhewe ushasahau au haukufanya unapakaziwa tu.Ila kweli buana unaweza shangaa voicenote zikaanza kuvujishwa kwa wingi ili lengo uchafuke zaidi
Swala la mabilioni ya ghadaf n.k
Basi kama ndio hivyo atakuja" KUNUKA"kwenye National Executive Committee.Nilisikia waliprinti fomu moja tu na printa pamoja na kifaa kilichotumika kuchapa hiyo fomu viliharibiwa kabisa
Na mlango wa ofisi ukatiwa kufuli?[sina uhakika na hili]
Tunashuhudia zanzibar idadi ikizidi kuongezeka
Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.
To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
[/QUOTE
Kumbu kumbu ni muhimu sana, mtu ambaye alifutiwa au kusimamishwa uanachama hawezi kuchukua fomu ya kugombea kupitia chama kile kile.
Natamani ungeandika hivi CCM mrudishie Membe uanachama wake akachukue fomu.
MEMBE IS NO LONGER A MEMBER OF OUR CCMNi mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.
To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
Membe anajua fika kwamba kwa nyakati hizi hawezi kushinda kiti cha Urais nje ya CCM. Edward Lowassa ametoa somo hilo mnamo mwaka 2015.Ni mada ya kuuliza tu maana tangu Aguswe baada ya vile vikao swala la kugombea ama kuwania kiti cha uraisi naona kama zimeyeyuka.
Mh. Membe muda ndio huu watu wanachukua fomu za ugombea nawe kama mtu ambaye kwa namna fulani ulijipambanua kama mtu mwenye malengo ya kuwa Rais siku moja usipoteze ata nukta kachukue sasa.
Nakukumbusha kuna memba humu JF walianzisha hadi tag ya #2020twendenamembe sioni kama litakuwa jambo la busara kuwa angusha.
To other JF members do you think Mr Benard fits to replace the current presidet and become the next president?
View attachment 1483119
Umeambiwa kuanzia computer mpaka printer vyote vimesagwa na bulldozer.Kwani ni kweli Bashiru kaprinti form moja tu? Na kwamba Orijino anayomgombea tayari kiasi kwamba wengine hawawezi hata kutoa copy?
Kwani Uanachama si alifutwa?Membe anajua fika kwamba kwa nyakati hizi hawezi kushinda kiti cha Urais nje ya CCM. Edward Lowassa ametoa somo hilo mnamo mwaka 2015.
Mimi sio msemaji wa Membe, lakini kwa hesabu za haraka naamini anaweza kugombea mwaka 2025 kupitia CCM baada ya kurudishiwa uanachama.
Hahahaha dah Blaza tuchatiUmeambiwa kuanzia computer mpaka printer vyote vimesagwa na bulldozer.
Sio mchezo ni jinsi gani inaonesha kuwa jamaa anapenda sana madaraka na kumuofia sana Membe kama haya usemayo ni kweli.Nilisikia waliprinti fomu moja tu na printa pamoja na kifaa kilichotumika kuchapa hiyo fomu viliharibiwa kabisa
Na mlango wa ofisi ukatiwa kufuli?[sina uhakika na hili]
Tunashuhudia zanzibar idadi ikizidi kuongezeka