Maono: Siku Marekani akichoka visa vinavyofanywa na Korea Kaskazini huenda ataifuta kabisa

Maono: Siku Marekani akichoka visa vinavyofanywa na Korea Kaskazini huenda ataifuta kabisa

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Kila siku Korea kaskazini inajaribu kujitutumua mbele ya Marekani kwa kujaribu kuwatisha Korea Kusini na Japan kwa majaribio ya silaha za nyuklia.

Majaribio hayo yanaikera Marekani kwa kiwango kikubwa ila kwa usalama na amani ya dunia anaamua kukaa kimya wala kutokujibu majaribio hayo huku uwezo wa kufanya hivyo anao.

Huwa kila siku nawaza ikaja kutokea siku Marekani akachoka uchokonozi wa Korea kaskazini hali itakuwaje? Maana kila anachofanya kinamfanya Marekani awaze kwenda mbali zaidi na sote tunajua siku Marekani ikiamua nini kitatokea kwa Korea kaskazini.

Badala ya kuona Korea kaskazini kaota kimkia Cha kupambana na Marekani basi tutumie muda huu kuiombea amani iendelee kutawala na Marekani asiwaze chochote kwa korea

Hakuna namna yoyote ya Korea kuipiga Marekani na uwezo huo hana. Nchi pekee yenye uwezo na nguvu ya kupanbana na Marekani ni Urusi tu dunia hii nzima. Korea kaskazini anajaribu kwa kuonja sumu kwa kulamba, ni hatari Sana.

Nimeona kwenye maono juu ya Marekani kupigana na nchi fulani na nchi hiyo kufutiliwa mbali na kila kilichomo ndani ya nchi hiyo kuangamizwa. Tusipuuze maono ,Mungu anajifunua kupitia maono.

Zaidi ya yote, tuendelee kuomba amani dunia na tuliombee taifa la Korea
 
Bila kujitutumua Korea kaskazini isingekuwa pale ilipo Kama hujui Kim ameiheshimisha nchi yake duniani
Pale hamna kitu. Watu maskin kama wamatumbi wa huku kwetu. Angalia wenzao south Korea wananchi wake wanavyokula Bata. Ila wanzao ni umaskin wa kutupwa. Pale kiduku ndo anakula Bata tu

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Pale hamna kitu. Watu maskin kama wamatumbi wa huku kwetu. Angalia wenzao south Korea wananchi wake wanavyokula Bata. Ila wanzao ni umaskin wa kutupwa. Pale kiduku ndo anakula Bata tu

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Swali ni: je, umewahi kutembelea Korea Kaskazini hata siku moja au ndio propaganda za CNN,Fox News na MSNBC zimekwisha chota akili watu wengi tu. FYI Korea kaskazini imepiga hatua kimaendeleo kwa raia wake ikiwemo masuala ya sayansi na teknolojia pamoja na viwanda - haya mambo ya kusema eti Wakorea kaskazini wanakufa njaa hizo ni adithi za kutunga tu.

Kama ni suala la kupigana vita ya ana kwa ana na Merikani walisha wahi kupigana mbona, na matokeo yake hayakuwa mazuri kwa jeshi la Merikani someni historia ya vita ya Korea 1950-1953 muone kilicho tokea baina ya US na Korea kaskazini.

Hawa watu wanao sema eti Korea Kaskazini itafutwa kwenye uso wa Dunia na Merikani wakithubutu kuishambulia Korea Kusini, wanao yasema hayo hawajui walisemalo - FYI Korea kaskazini ina uwezo mkubwa katika masuala ya sayansi ya Roketi pamoja na thermonuclear payload tekinolojia na delivery system zake kwa njia ya land based ICBM au submarine launched ICBM, ndio wanawafundisha Wairan jinsi ya kuunda roketi hatarishi za kisasa - bottom line ni kwamba: Korea Kaskazini si Taifa la kuchukulia kimzaa mzaa hata kidogo,jeshi lake lina uwezo mkubwa wa kujibu mapigo -msifikiri USA inaigwaya Korea Kaskazini bila sababu,kama Korea Kaskazini ingekuwa a Banana Republic/military weak ingeshambuliwa siku nyingi na NATO/US na kukaliwa kimabavu.
 
Pale hamna kitu. Watu maskin kama wamatumbi wa huku kwetu. Angalia wenzao south Korea wananchi wake wanavyokula Bata. Ila wanzao ni umaskin wa kutupwa. Pale kiduku ndo anakula Bata tu

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app

Korea wanamaisha mazuri sana usifananishe na bongo kabisa wale wameweza kujitegemea sio sisi mama bila kupanda ndege kupiga magoti hatuwezi.
 
Russia atapigana miaka kumi atakaa atazorota
Mchina juzijuzi busara zilimuokoa angepewa vita na Taiwan angezorota.
Huyo Korea Kaskazini ni mandoga kwa USA.
Kihalisia kwa sasa ni vigumu sana kuishinda USA kijeshi
 
Swali ni: je, umewahi kutembelea Korea Kaskazini hata siku moja au ndio propaganda za CNN,Fox News na MSNBC zimekwisha chota akili watu wengi tu. FYI Korea kaskazini imepiga hatua kimaendeleo kwa raia wake ikiwemo masuala ya sayansi na teknolojia pamoja na viwanda - haya mambo ya kusema eti Wakorea kaskazini wanakufa njaa hizo ni adithi za kutunga tu.

Kama ni suala la kupigana vita ya ana kwa ana na Merikani walisha wahi kupigana mbona, na matokeo yake hayakuwa mazuri kwa jeshi la Merikani someni historia ya vita ya Korea 1950-1953 muone kilicho tokea baina ya US na Korea kaskazini.

Hawa watu wanao sema eti Korea Kaskazini itafutwa kwenye uso wa Dunia na Merikani wakithubutu kuishambulia Korea Kusini, wanao yasema hayo hawajui walisemalo - FYI Korea kaskazini ina uwezo mkubwa katika masuala ya sayansi ya Roketi pamoja na thermonuclear payload tekinolojia na delivery system zake kwa njia ya land based ICBM au submarine launched ICBM, ndio wanawafundisha Wairan jinsi ya kuunda roketi hatarishi za kisasa - bottom line ni kwamba: Korea Kaskazini si Taifa la kuchukulia kimzaa mzaa hata kidogo,jeshi lake lina uwezo mkubwa wa kujibu mapigo -msifikiri USA inaigwaya Korea Kaskazini bila sababu,kama Korea Kaskazini ingekuwa a Banana Republic/military weak ingeshambuliwa siku nyingi na NATO/US na kukaliwa kimabavu.
Wataalamu wa uchumi wanaposema kuwa Korea Kaskazini ni nchi masikini huwa hawatumii African standards kwa kuilinganisha na nchi kama Tanzania. Huwa wanatumia indicators nyingi ikiwemo ukuaji wa GDP ya nchi husika. Hizi sio porojo za mtaani.

In short, kulingana na economic indicators zote muhimu zinazotambulika duniani kwa sasa, Korea Kaskazini ni nchi masikini.
 
Swali ni: je, umewahi kutembelea Korea Kaskazini hata siku moja au ndio propaganda za CNN,Fox News na MSNBC zimekwisha chota akili watu wengi tu. FYI Korea kaskazini imepiga hatua kimaendeleo kwa raia wake ikiwemo masuala ya sayansi na teknolojia pamoja na viwanda - haya mambo ya kusema eti Wakorea kaskazini wanakufa njaa hizo ni adithi za kutunga tu.

Kama ni suala la kupigana vita ya ana kwa ana na Merikani walisha wahi kupigana mbona, na matokeo yake hayakuwa mazuri kwa jeshi la Merikani someni historia ya vita ya Korea 1950-1953 muone kilicho tokea baina ya US na Korea kaskazini.

Hawa watu wanao sema eti Korea Kaskazini itafutwa kwenye uso wa Dunia na Merikani wakithubutu kuishambulia Korea Kusini, wanao yasema hayo hawajui walisemalo - FYI Korea kaskazini ina uwezo mkubwa katika masuala ya sayansi ya Roketi pamoja na thermonuclear payload tekinolojia na delivery system zake kwa njia ya land based ICBM au submarine launched ICBM, ndio wanawafundisha Wairan jinsi ya kuunda roketi hatarishi za kisasa - bottom line ni kwamba: Korea Kaskazini si Taifa la kuchukulia kimzaa mzaa hata kidogo,jeshi lake lina uwezo mkubwa wa kujibu mapigo -msifikiri USA inaigwaya Korea Kaskazini bila sababu,kama Korea Kaskazini ingekuwa a Banana Republic/military weak ingeshambuliwa siku nyingi na NATO/US na kukaliwa kimabavu.
Haya Basi Tufanye North Korea ni matajiri wa kutupwa maana ndo unachotaka kusikia.
 
Bila kujitutumua Korea kaskazini isingekuwa pale ilipo Kama hujui Kim ameiheshimisha nchi yake duniani
duh ila Zele anaipoteza nch yake ? ( the sane people with the same iq )
 
Swali ni: je, umewahi kutembelea Korea Kaskazini hata siku moja au ndio propaganda za CNN,Fox News na MSNBC zimekwisha chota akili watu wengi tu. FYI Korea kaskazini imepiga hatua kimaendeleo kwa raia wake ikiwemo masuala ya sayansi na teknolojia pamoja na viwanda - haya mambo ya kusema eti Wakorea kaskazini wanakufa njaa hizo ni adithi za kutunga tu.

Kama ni suala la kupigana vita ya ana kwa ana na Merikani walisha wahi kupigana mbona, na matokeo yake hayakuwa mazuri kwa jeshi la Merikani someni historia ya vita ya Korea 1950-1953 muone kilicho tokea baina ya US na Korea kaskazini.

Hawa watu wanao sema eti Korea Kaskazini itafutwa kwenye uso wa Dunia na Merikani wakithubutu kuishambulia Korea Kusini, wanao yasema hayo hawajui walisemalo - FYI Korea kaskazini ina uwezo mkubwa katika masuala ya sayansi ya Roketi pamoja na thermonuclear payload tekinolojia na delivery system zake kwa njia ya land based ICBM au submarine launched ICBM, ndio wanawafundisha Wairan jinsi ya kuunda roketi hatarishi za kisasa - bottom line ni kwamba: Korea Kaskazini si Taifa la kuchukulia kimzaa mzaa hata kidogo,jeshi lake lina uwezo mkubwa wa kujibu mapigo -msifikiri USA inaigwaya Korea Kaskazini bila sababu,kama Korea Kaskazini ingekuwa a Banana Republic/military weak ingeshambuliwa siku nyingi na NATO/US na kukaliwa kimabavu.
yaan inatumwa kombania moja hlf mwingine anasajilI mpk watoto , is that a war ? yaan USA hakuwa vitan but ilikuwa ni kusupport south koreans
 
Back
Top Bottom