African businesses
Member
- Feb 13, 2024
- 80
- 204
Habari zenu wadau wote wa jukwaa hili la michezo, kwanza kabisa niseme tu mimi nimekua nikafatilia Kwa club michuano hii mikubwa kwa ngazi ya vilabu barani Africa.
Nikitazama kwa jicho la kiufundi kabisa naiona timu ambalo yupo Yanga, litatoa timu zitazokutana fainal au timu mojawapo katika kundi hilo atacheza fainal.
Utabiri wangu fainal itakutanisha hizi timu
Yanga vs Al ihly .
au
Yanga vs Mamelod sundown
Ngoja tuone, wakati utaongea
Nikitazama kwa jicho la kiufundi kabisa naiona timu ambalo yupo Yanga, litatoa timu zitazokutana fainal au timu mojawapo katika kundi hilo atacheza fainal.
Utabiri wangu fainal itakutanisha hizi timu
Yanga vs Al ihly .
au
Yanga vs Mamelod sundown
Ngoja tuone, wakati utaongea