Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Baada yakutoa huu unabii meza ikapinduliwa je Mungu atapotezea neno lisitimie ama atafanya kwa namna wanadam hatukuwahi tafakari..
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ni mwendo wa ramli Hadi 2030 mtakuwa mnasogeza mbele tarehe tuu 🀣🀣🀣
 
Hapo kwenye bold nafikiri maombi yamesaidia. Nimesali sana!!
 
Naona white paper imeshatoka na Mzee anayeheshimika ndani ya chama ameshatoa ushauri wake na majina yamepitishwa tayari.
Tatizo ni kuwa aliyebahatika kusikia aka cram badala ya kuitafsiri vilivyoπŸ˜‚
 
Sidhani.
Sometimes hapa duniani ukiwa na madaraka na hela, ni rahisi ku-bypass baadhi ya tabiri/unabii
😁😁😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…