Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji7][emoji2956][emoji2956][emoji2956]ILLUSIONS.
Wewe jamaa una MATATIZO YA AKILI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji7][emoji2956][emoji2956][emoji2956]ILLUSIONS.
Wewe jamaa una MATATIZO YA AKILI.
Dunia ni pembetatu sio tena duaraHakuna uchaguzi umekuwaga mwepezi TZ.
Uzuri wa 2015 mgombea alijulikana tabia yake toka akiwa waziri. 2025, Mmmmm, wengi hawamjui kama huyu ni mwanasiasa mkongwe japo wanajua kuwa alikuwa kwenye siasa muda mrefu.
Kifupi zungumzieni 2030, kwani 2025 mchezo umeshakwisha.
Mnaleta siasa za kipuuzi za kusaka madaraka kwa njia chafu, wananchi wamechoka na hicho chama chenu kinachoshurutisha kukaa madarakani. Mtafanyiana umafia wa kipuuzi lakini kiuhalisia ni kizazi kimewachoka. Fanyianeni umafia wa kijinga lakini kizazi hiki sio Cha chama hicho.Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.
Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
⏰️Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.
Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
Kuna nini tena au ndie ile 2025 siendi😭😭🏊♀️
Rangi ya njano siyo menu!! Nimeshtuka sana. Wadii mbili ngoja tukae pembeni
Naona njozi imejirudia tena.
Tuna walioshiba wakaoo magorofani wakijifananisha na walala hoi wanaochapa lapa kutwa,kuchwa.Hii nchi haina kitu chochote kama deep state au wazee wenye siri za taifa.ni kutishiana tishiana tu.Mambo yasingekua yanaenda kiholela holela
i support 100%Hii nchi haina kitu chochote kama deep state au wazee wenye siri za taifa.ni kutishiana tishiana tu.Mambo yasingekua yanaenda kiholela holela
DuhMbeba maono 2025 ni msela maji ya kunde na sharubu sharuba mithiri ya Madilu wa Burudi japo watu wengi hata CM wake ataonekana kutomuunga mkono ila kwa kuwa atapewa kijiti basi CM atakuwa nae.
Game 🎮Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.
Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
Game Lina endeleaGame 🎮