Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Lazima utazame alcohol content kabla ya kutumia kilevi. Pombe nyingine ni Kali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga Mkono hoja, hekima na busara vitumike kuinusuru nchi yetuTumia AKILI once said ;yule wa mipasho akisimama 2025, upinzanzani kuchukua Nchi ni sawa na kuserereka Kwa barafu ya mt Kilimanjaro.
Pia Pana tofauti kati ya NDOTO, MAONO, UNABII nk nk.
Maono ya Karatasi nyeupe sawasawa na mwandishi naamini ni ujumbe Kwa mamlaka kutofanya kosa Hilo, Ili watu wasitokwe machozi siku hiyo.
BUSARA itumike!!!!
Ameeeen
nasubiri mkuuHaya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.
Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
Wao wanasema eti 2025 bado mbali sana wakati wewe unaona tunapeta hadi 2030 sio!!?Hakuna uchaguzi umekuwaga mwepezi TZ.
Uzuri wa 2015 mgombea alijulikana tabia yake toka akiwa waziri. 2025, Mmmmm, wengi hawamjui kama huyu ni mwanasiasa mkongwe japo wanajua kuwa alikuwa kwenye siasa muda mrefu.
Kifupi zungumzieni 2030, kwani 2025 mchezo umeshakwisha.
Wewe damu ya Ben inakulilia toka ardhini.Wewe ndiye uliyemuua ulaniwe wewe na kizazi chako choteHaya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.
Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
Kwenye ulimwengu wa roho, haonekani kwenye kiti Cha ukuu, amekaa pembeni, la da kivuli chake ndo unachokiona wewe.Yohana wa Patmo hakumuua Ben Saanane
Huyu ni moja ya wauaji waliokuwa wanatumiwa na Mwendazake. Saivi kachanganyikiwa huamini kan Mwendazake aliyekuwa akimlipa kufanya ufedhuli hatupo. Kwa iyo amekalia ramli tu
Usimshangae sana ni msongo wa mawazo tu. Tu mshauri tu kuwa Samia ndo Rais wake Hadi 2030 na alikubali hilo
Mtu wa Mungu, huyo bibi mnayemtegemea hayupo kwenye kiti Tena! maneno haya ni kweli na thabiti.Bas unajikuta una aaakiili mjinga wewe.Kwann mnapenda kuwadharau watu wasiokuwa interested na upumbavu wenu wa ndoto za alinachA nyie wehu??
Dogo, anachokisema huyo jamaa ni kweli, ingia kwenye ulimwengu wa roho, mbona kila kitu Kiko wazi? Mimi nimeona huyo bibi katolewa kwenye kiti, hatakuwa rais Tena!Wewe kwa akili yako kabisa unadhani kijani watajinyonga? Hilo halipo. Linapokuja suala la dola, kijani wote huwa kitu kimoja kuhakikisha wanatwaa na kumiliki dola hayo mengine wanayajenga wakiwa na dola.
Hii ndiyo aina ya viongozi wa ccm, ndio mana Mungu amewakataa.Mnaishi kwa imani na illusions za kichoko kinoma
Mkuu, huyo siyo rais tena 2025, ametolewa kwenye kiti, kama huamini, subiri mda ufike.Porojo hizi za wale haters wa SSH
Waambie TEC muda hautakuwa wao tena kusoma waraka mweupe.Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.
Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
Safari hii, desturi hiyo haipo.RAISI LAZIMA AMALIZE MIAKA 10 YA UONGOZI WAKE
HUU NI UTARATIBU WETU NA TAMADUNI NDANI CCM UNAJULIKANA[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
AfadhaliDogo, anachokisema huyo jamaa ni kweli, ingia kwenye ulimwengu wa roho, mbona kila kitu Kiko wazi? Mimi nimeona huyo bibi katolewa kwenye kiti, hatakuwa rais Tena!