Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Wewe hujamfuatilia vizuri huyu mdau au hasira zako kwa mwendazake zimekutia upofu wa kifikra.

Jamaa alimuonya sana mwendazake siku zake za mwisho na kwa hakika alitabiri jambo baya litalikumba taifa letu kama kiongozi yule asingebadili muelekeo wake.

Wengi tulimpuuza lakini kweli utabiri wake ulitimia kama ulivyotimia kwa 8 clocks..

Na ndiye aliyetabiri mwenendo wa awamu ya tano kwa usahihi kabla
 
Ramli, Umbeya, Ushabiki uchwara, kuabudu watu na udaku ndio Maisha ya Mswahili.

Ni trash kabisa
I could not agree more.Ni ujinga wa kiwango cha lami kuamini ramli na so called maono.
Ni kukosa kazi na hallucinations za kukata tamaa.
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Mkuu hatimaye uongozi wa dola unaweza kuchukuliwa rasmi na upande wa upinzani. Baada ya ukweli wote kuhusu figisu, hujuma, mbeleko zenye kukibeba CCM na kupelekea matokeo tata ya chaguzi za 2010, 2015 & 2020 kuwekwa wazi.

Pengine hiyo ni "wake up call" kwamba mbeleko mwaka 2025 itachanika. Mgawanyiko na minyukano ndani ya chama tawala itapelekea kisiaminike tena na wazee wa "deep state". Maamuzi magumu itapaswa yafanyike, haki itafika wakati ipaswe kutendeka, ili anayeungwa mkono na umma ndiye apate kutawala. Mshindi halali ndiye akabidhiwe dola.

Hii ni "speculation" yangu tu kama vile nyingi ambazo zimewahi kutolewa na watu wengine kuhusu hatma ya CCM kuendelea kubebwa na vyombo vya dola katika ushindi wake katika chaguzi mbalimbali.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Ben saanane ameuawa na CDM wenyewe na DJ wenu anajua vizuri sana. Kabla Ben hajapotea alikua ni msaidizi wa karibu wa DJ lakini baadae wakamshtukia kwamba amepandikizwa anavujisha siri za chama, hivyo wakamuondoa kwenye hiyo nafasi wakamzuia pia asigombee nafasi yoyote kwenye chama ikiwemo BAVICHA kwa kulikata jina lake. Ben pia anasemekana alikwamisha project ya kumuondoa Zitto kwenye sura ya dunia. Yote haya, CDM ilishindwa kuyavumilia wakampoteza halafu zigo kama kawaida limeangushiwa Serikali.
Hata hivyo serikali lzm ilaumiwe Chama kinaua watu halafu serikali inajua na haichukui hatua? Kisa CDM ni Chama cha siasa
 
Hizi ni ramli chonganishi 2 km znginezo mana mshaulizwa kuna ntu halambi asali?, majibu yalikuaje??
 
Sina dam ya mtu awaye yeyote ktk uso wa dunia ila nimmoja ya watu ukinisikiza utaiponya nafsi yako maana Mungu amenipa uwezo wa ajabu sana.
Mbona husemi nilipo mwambia hayati JPM asikitaje kifo na yale yametokea some time....
Wewe ni mhuni tu.
Twambie Ben SAANANE alipo.
 
Kuna mzee mmoja wa kisambaa aliniambia,
Embe lililo oza halina msaada kwako na kwa familia yako. Likidondoka, huna haja ya kukunja sura...
Nikasema kweli, nilienda kwa hawa jamaa kuwaomba wanichangie mil moja kuchukua fomu, wakanichinjia baharini... nilipoleta uzi wangu JF wa kuomba msaada, wakaupiga STOP!
Nikajua tu, akufukuzaye, hakwambii TOKA!
Sasa wale walioamuru uzi wangu JF ufutwe, dawa yao iko jikoni inachemka. Wasione niko kimya...
 
Kuna mzee mmoja wa kisambaa aliniambia,
Embe lililo oza halina msaada kwako na kwa familia yako. Likidondoka, huna haja ya kukunja sura...
Nikasema kweli, nilienda kwa hawa jamaa kuwaomba wanichangie mil moja kuchukua fomu, wakanichinjia baharini... nilipoleta uzi wangu JF wa kuomba msaada, wakaupiga STOP!
Nikajua tu, akufukuzaye, hakwambii TOKA!
Sasa wale walioamuru uzi wangu JF ufutwe, dawa yao iko jikoni inachemka. Wasione niko kimya...
Mbona unatufokea? Kama wewe milioni moja huna Sisi tunaitoa wapi?

Fanya Kazi bro, siasa ni uwekezaji Kama uwekezaji mwingine....Yani tafuta hela.
 
Inaonekana unapumua kwa shida sana Chief.... Nikukumbushe kidogo Miungu wako unaweza kupata nafuu...piga goti na kuwaabudu

View attachment 2074354
Huyu mrefu tutaendelea kumdai damu ya Leopold Lwajabe! yule mkurugenzi wa miradi ya EU aliyenyongwa na kutundikwa Mkuranga!! Doto James Doto James Doto James! Nimekuita mara tatu --- Repent otherwise you will soon perish"
 
Mbona unatufokea? Kama wewe milioni moja huna Sisi tunaitoa wapi?

Fanya Kazi bro, siasa ni uwekezaji Kama uwekezaji mwingine....Yani tafuta hela.
Hahaa mkwara tu huo. Siku moja moja kama baba mwenye nyumba lazima uchimbe mkwara ili wapangaji walipe kodi kwa wakati!
 
RAISI LAZIMA AMALIZE MIAKA 10 YA UONGOZI WAKE
HUU NI UTARATIBU WETU NA TAMADUNI NDANI CCM UNAJULIKANA[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
 
Wewe hujamfuatilia vizuri huyu mdau au hasira zako kwa mwendazake zimekutia upofu wa kifikra.

Jamaa alimuonya sana mwendazake siku zake za mwisho na kwa hakika alitabiri jambo baya litalikumba taifa letu kama kiongozi yule asingebadili muelekeo wake.

Wengi tulimpuuza lakini kweli utabiri wake ulitimia kama ulivyotimia kwa 8 clocks..

Ngoja tuone utabiri wa safari hii.
 
Back
Top Bottom