Huu utabiri hauwezi kuwa valid kwasababu umeutoa mapema sana. Hapo katikati mambo mengi yanaweza kutokea na kubadili kila kitu.
Pili tabiri zako zimekuwa nyingi huku zikihusu kitu kimoja. Kama we sio Tumiakili basi muige, akishatoa maono yake anapotea mpaka tukio likishatokea ndo anarudi.
Pili tabiri zako zimekuwa nyingi huku zikihusu kitu kimoja. Kama we sio Tumiakili basi muige, akishatoa maono yake anapotea mpaka tukio likishatokea ndo anarudi.