Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Huu utabiri hauwezi kuwa valid kwasababu umeutoa mapema sana. Hapo katikati mambo mengi yanaweza kutokea na kubadili kila kitu.

Pili tabiri zako zimekuwa nyingi huku zikihusu kitu kimoja. Kama we sio Tumiakili basi muige, akishatoa maono yake anapotea mpaka tukio likishatokea ndo anarudi.
 
We Tumaini waambie deep state wenzio sawa,taarifa imefika,ila Mungu anasema mwaka huu jamaa zenu watavurugana sana,wasipochutama na kuacha udhalimu utakuwa mwanzo wa mwisho wa ccm and 5 years to come (2026) it will be over,self sabotage is in the process now.
Vilio ni vingi huku mitaani,haswa sisi vijana,na vilio hivi vimemfikia.
Deep state wote mliopo humu,mark this post.
 
Mimi na subscribe tu kwenye thread hii ili nipate newsfeed hiyo 2025 barua itakaposomwa.

Hii ni kutokana na imani yangu kwa mleta mada.

Mimi pia Imani yangu kwa Mtoa nada dugu TumainiEl 100%
Tatizo humu watoto na wasiokuwa na Upeo ka 1B wapo wengi Matokeo yake hawajui nini Kimeandikwa wanajibu hovyo tuu!
Huyu jamaa nimemfuatilia kitambo anachosema kinatokea
Cc Pascal Mayalla
 
Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea...
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa..
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
ILLUSIONS.

Wewe jamaa una MATATIZO YA AKILI.
 
Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea...
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa..
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.

1.Mkuu hapo mwisho yaani Taifa Litapewa Taarifa ya Siri tena?
2.Huyo Mwanafamu atakaekuwa ameandika hiyo siri atakuwa ni Kiongozi wa Nchi?Au Viongozi wa Nchi waliopita? Au Au Hizo siri zinahusiana na Mali au Madaraka Mpaka Wananchi tuje Tutangaziwe?
Kwanini wasibaki Nazo?
TumainiEl
 
Mimi pia Imani yangu kwa Mtoa nada dugu TumainiEl 100%
Tatizo humu watoto na wasiokuwa na Upeo ka 1B wapo wengi Matokeo yake hawajui nini Kimeandikwa wanajibu hovyo tuu!
Huyu jamaa nimemfuatilia kitambo anachosema kinatokea
Cc Pascal Mayalla
Bas unajikuta una aaakiili mjinga wewe.Kwann mnapenda kuwadharau watu wasiokuwa interested na upumbavu wenu wa ndoto za alinachA nyie wehu??
 
Bas unajikuta una aaakiili mjinga wewe.Kwann mnapenda kuwadharau watu wasiokuwa interested na upumbavu wenu wa ndoto za alinachA nyie wehu??

Yaani Nusura nikutie konzi...Nikakumbuka Nitaoasua Kioo changu cha simu....
Kwanini Kama hauko interested na Mada Fulani mnaandika au UnaComments tena hovyo,Na upumbavu,Ukiona Haikufai kwanini usikae kimya Mpaka uandike Ugoro wako hapa!
 
Yohana wa Patmo hakumuua Ben Saanane

Huyu ni moja ya wauaji waliokuwa wanatumiwa na Mwendazake. Saivi kachanganyikiwa huamini kan Mwendazake aliyekuwa akimlipa kufanya ufedhuli hatupo. Kwa iyo amekalia ramli tu

Usimshangae sana ni msongo wa mawazo tu. Tu mshauri tu kuwa Samia ndo Rais wake Hadi 2030 na alikubali hilo
Nani alimng'oa kucha na meno Dr. Ulimboka?
Nani aliasisi mauaji ya kina Dr. Mvungi?
Nani alifisadi nchi hadi Waziri Mku akajiudhuru?
Nani alipelekes wasiojulikana Zenz kuteka na kupoteza watu?
Mwogope Mungu wewe. Kama hujui, nyamaza.
 
Back
Top Bottom