Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
📌📌Yaani Nusura nikutie konzi...Nikakumbuka Nitaoasua Kioo changu cha simu....
Kwanini Kama hauko interested na Mada Fulani mnaandika au UnaComments tena hovyo,Na upumbavu,Ukiona Haikufai kwanini usikae kimya Mpaka uandike Ugoro wako hapa!
Naomba link ya huo uzi mkuu🙏Kama napiga ramli chonganishi kasome uzi wa Jr
Huamini katika 'kitengo'
Uyo ni mmoja wa ndugu zake jiwe , ivi wanaweza fika 50.Inaonekana unapumua kwa shida sana Chief.... Nikukumbushe kidogo Miungu wako unaweza kupata nafuu...piga goti na kuwaabudu
View attachment 2074354
Wewe ndio unasema ila muda utakujuza
Life is endless cycle, only the few can notice that.Du vipi hao wazee wa Siri wao ni immortal.
Wewe ndio unasema ila muda utakujuza
Hakuiandika mwenyewe?ahaahha,naona mmekata tamaa wenyewe,we mjinga sindio ulikuwa unasema Ndugai hawezi kujiuzulu,na Samia Hana nguvu ya kumlazimisha ajiuzulu, kwamba eti Nchi itachafuka!!
Ndugai kahamka asubui anakuta barua ya kuubwaga uspika ipo mitandaoni na katibu wa chama kashaijibu,na katibu wa bunge pia kashaijibu, Urais ni taasisi kubwa,zaidi ya Samia
Ni ndoto nzuri.....tuombe uzimaHaya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Jamaa anaota kuhusu kuachia madaraka macho legeza!!!tena ni Baada ya kuivuruga nchi The State wataamua hilo tu hamna namna!!Ni ndoto nzuri.....tuombe uzima
Hao wazee na makachero wabobezi huoni unawachongea kwa makundi yenye tamaa ya madaraka, hao walio nguzo za taifa?Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Kama wapo (Deep State) basi wajitathmini.
Mpaka sasa tushapigwa bao na Wazanzibari na ndo wanatutawala.
Uchumi uko mikononi mwa raia wa kigeni hasa Wahindi.
Raia wa kigeni ndo wana sauti kwenye serikali yetu, reffer to Rostam Aziz, Salim Bakhressa, Sai Seth nk kwenye utawala wa Tz.
Wasomali nao hawajalala na wanakimbia mwendo mkali (Bashe, Karia nk )..
Wachina nao wanakuja kwa kasi huku huku wakiwazalisha dada zetu bila akili nzuri, vitoto vya Kichina siku vikikua na kushika madaraka tutakuwa tumechelewa.
Tunakoelekea tutatawaliwa na raia wa kigeni na kuwa colonised directly.