Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Mzee wa Siri Warioba halafu atangaze mchakato wa katiba mpya uanze Ndipo uchaguzi utafata wa Demokrasia na tume huru!!lazima vigogo wa kijani watazimia na wengineo kufa na ndio mwisho wa kinyonga wa kijani kutawala TZ!
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
aha==
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Unaposema "..anaheshimika na kukubalika na chama..", una maanisha chama gani?
 
Sina dam ya mtu awaye yeyote ktk uso wa dunia ila nimmoja ya watu ukinisikiza utaiponya nafsi yako maana Mungu amenipa uwezo wa ajabu sana.
Mbona husemi nilipo mwambia hayati JPM asikitaje kifo na yale yametokea some time....
Na je; vipi kama mwenyewe alikuwa anajua kitakachotokea?🤗
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
2025 Hakuna uchaguzi. Ni hatua za MWISHO za kukamilisha mchakato wa kupatikana KATIBA mpya 2026. Mzee Warioba atakuwa Kwa cabinet hiyo.

Mungu anapotuma ujumbe kuhusu jambo litakalotokea Husema na mtu zaidi ya mmoja bt Kwa same message. Baada ya hapo ndo unakuwa MWISHO wa Kinyonga wa KIJANI na MANJANO.
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Hakuna siri duniani. Vyumba vinavyoitwa vya siri vimejaa watu sasa kuna siri tena hapo?
 
2025 Hakuna uchaguzi. Ni hatua za MWISHO za kukamilisha mchakato wa kupatikana KATIBA mpya 2026. Mzee Warioba atakuwa Kwa cabinet hiyo. Mungu anapotuma ujumbe kuhusu jambo litakalotokea Husema na mtu zaidi ya mmoja bt Kwa same message. Baada ya hapo ndo unakuwa MWISHO wa Kinyonga wa KIJANI na MANJANO.
Na mimi naona haya yakienda kutokea.
 
Mzee wa Siri Warioba halafu atangaze mchakato wa katiba mpya uanze Ndipo uchaguzi utafata wa Demokrasia na tume huru!!lazima vigogo wa kijani watazimia na wengineo kufa na ndio mwisho wa kinyonga wa kijani kutawala TZ!
Wewe kwa akili yako kabisa unadhani kijani watajinyonga? Hilo halipo. Linapokuja suala la dola, kijani wote huwa kitu kimoja kuhakikisha wanatwaa na kumiliki dola hayo mengine wanayajenga wakiwa na dola.
 
2025 Hakuna uchaguzi. Ni hatua za MWISHO za kukamilisha mchakato wa kupatikana KATIBA mpya 2026. Mzee Warioba atakuwa Kwa cabinet hiyo. Mungu anapotuma ujumbe kuhusu jambo litakalotokea Husema na mtu zaidi ya mmoja bt Kwa same message. Baada ya hapo ndo unakuwa MWISHO wa Kinyonga wa KIJANI na MANJANO.
Watu Kama nyie ndio mnasababisha mpaka kina MC Pili pili wamefungua makanisa
 
Yohana wa Patmo hakumuua Ben Saanane

Huyu ni moja ya wauaji waliokuwa wanatumiwa na Mwendazake. Saivi kachanganyikiwa huamini kan Mwendazake aliyekuwa akimlipa kufanya ufedhuli hatupo. Kwa iyo amekalia ramli tu

Usimshangae sana ni msongo wa mawazo tu. Tu mshauri tu kuwa Samia ndo Rais wake Hadi 2030 na alikubali hilo
Ben saanane ameuawa na CDM wenyewe na DJ wenu anajua vizuri sana. Kabla Ben hajapotea alikua ni msaidizi wa karibu wa DJ lakini baadae wakamshtukia kwamba amepandikizwa anavujisha siri za chama, hivyo wakamuondoa kwenye hiyo nafasi wakamzuia pia asigombee nafasi yoyote kwenye chama ikiwemo BAVICHA kwa kulikata jina lake. Ben pia anasemekana alikwamisha project ya kumuondoa Zitto kwenye sura ya dunia. Yote haya, CDM ilishindwa kuyavumilia wakampoteza halafu zigo kama kawaida limeangushiwa Serikali.
 
Huu utabiri hauwezi kuwa valid kwasababu umeutoa mapema sana. Hapo katikati mambo mengi yanaweza kutokea na kubadili kila kitu.

Pili tabiri zako zimekuwa nyingi huku zikihusu kitu kimoja. Kama we sio Tumiakili basi muige, akishatoa maono yake anapotea mpaka tukio likishatokea ndo anarudi.
Kuna mwamba mwingine anaitwa MAGAMBA MATATU. Huyo akisema jambo harudiagi mara mbili, lazima litimie. Tumia akili sijanote mambo yake.
 
Back
Top Bottom