Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Indeed it is a prediction
bado sala za Watanzania zinaweza kusaidia kupunguza mtafaruku wa siku hiyo
 
Kadiri tunavyozidi kuelekea mwaka 2025 zipo nyuzi nyingi zinazoashiria uwepo wa fumbo fulani la imani juu ya mabadiliko makubwa katika utawala wa nchi yetu. Jambo la ajabu ni kuwa karibu zote zipo katika muumdo wa "simulation" lakini zote zipo "symmetric" juu ya jambo hili kutokea.

Ngoja tuzidi kuvuta subira.
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Hebu tafsiri kwa kiswahili ueleweke maana naona ma wa wa baruwa, kujuwa ijuwa na ma waa kibao.
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Another episode of Dark days!?
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Tumia AKILI once said ;yule wa mipasho akisimama 2025, upinzanzani kuchukua Nchi ni sawa na kuserereka Kwa barafu ya mt Kilimanjaro.

Pia Pana tofauti kati ya NDOTO, MAONO, UNABII nk nk.

Maono ya Karatasi nyeupe sawasawa na mwandishi naamini ni ujumbe Kwa mamlaka kutofanya kosa Hilo, Ili watu wasitokwe machozi siku hiyo.

BUSARA itumike!!!!

Ameeeen
 
FB_IMG_1660396245327.jpg
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Ahsante sana kwa maono Mkuu TumainiEl.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Ben saanane ameuawa na CDM wenyewe na DJ wenu anajua vizuri sana. Kabla Ben hajapotea alikua ni msaidizi wa karibu wa DJ lakini baadae wakamshtukia kwamba amepandikizwa anavujisha siri za chama, hivyo wakamuondoa kwenye hiyo nafasi wakamzuia pia asigombee nafasi yoyote kwenye chama ikiwemo BAVICHA kwa kulikata jina lake. Ben pia anasemekana alikwamisha project ya kumuondoa Zitto kwenye sura ya dunia. Yote haya, CDM ilishindwa kuyavumilia wakampoteza halafu zigo kama kawaida limeangushiwa Serikali.
Ben na DJ
 
Kuna mzee mmoja wa kisambaa aliniambia,
Embe lililo oza halina msaada kwako na kwa familia yako. Likidondoka, huna haja ya kukunja sura...
Nikasema kweli, nilienda kwa hawa jamaa kuwaomba wanichangie mil moja kuchukua fomu, wakanichinjia baharini... nilipoleta uzi wangu JF wa kuomba msaada, wakaupiga STOP!
Nikajua tu, akufukuzaye, hakwambii TOKA!
Sasa wale walioamuru uzi wangu JF ufutwe, dawa yao iko jikoni inachemka. Wasione niko kimya...
Ha ha ha ha ha.
 
Back
Top Bottom