Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Indeed it is a predictionHaya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Hebu tafsiri kwa kiswahili ueleweke maana naona ma wa wa baruwa, kujuwa ijuwa na ma waa kibao.Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Unaharisha tu na uchawa usiokuwa na kichwa wala miguu.Porojo hizi za wale haters wa SSH
Another episode of Dark days!?Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
🤣Unaandika kama upo Kisiwani Patmo!! Wewe ni Yohana?
[emoji1787][emoji1787][emoji119]we kumbe ndio Kasheku msukuma
Tumia AKILI once said ;yule wa mipasho akisimama 2025, upinzanzani kuchukua Nchi ni sawa na kuserereka Kwa barafu ya mt Kilimanjaro.Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Nguvu ya maono ndio inafanya kuniuliza hili. Nje ya hapo sina lakusema ila nimewahi post uwezo nilio nao ktk kuona mbaliWewe ni mhuni tu.
Twambie Ben SAANANE alipo.
Nimepost pia Mh Magufuli aache kukitaja kifo bahati mbaya kafa uje niuliza Hayati Magufuli nimempeleka wapi.Wewe ni mhuni tu.
Twambie Ben SAANANE alipo.
Ahsante sana kwa maono Mkuu TumainiEl.Haya ndio maono ya 2025
Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.
Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.
Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.
Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.
Namwisho Taifa litapewa Taarifa.
Ben na DJBen saanane ameuawa na CDM wenyewe na DJ wenu anajua vizuri sana. Kabla Ben hajapotea alikua ni msaidizi wa karibu wa DJ lakini baadae wakamshtukia kwamba amepandikizwa anavujisha siri za chama, hivyo wakamuondoa kwenye hiyo nafasi wakamzuia pia asigombee nafasi yoyote kwenye chama ikiwemo BAVICHA kwa kulikata jina lake. Ben pia anasemekana alikwamisha project ya kumuondoa Zitto kwenye sura ya dunia. Yote haya, CDM ilishindwa kuyavumilia wakampoteza halafu zigo kama kawaida limeangushiwa Serikali.
Ha ha ha ha ha.Kuna mzee mmoja wa kisambaa aliniambia,
Embe lililo oza halina msaada kwako na kwa familia yako. Likidondoka, huna haja ya kukunja sura...
Nikasema kweli, nilienda kwa hawa jamaa kuwaomba wanichangie mil moja kuchukua fomu, wakanichinjia baharini... nilipoleta uzi wangu JF wa kuomba msaada, wakaupiga STOP!
Nikajua tu, akufukuzaye, hakwambii TOKA!
Sasa wale walioamuru uzi wangu JF ufutwe, dawa yao iko jikoni inachemka. Wasione niko kimya...
Watadhulumu kwa muda tu
Nani?Watadhulumu kwa muda tu
Tulia utajuwa hujuwiRamli chonganishi.