Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 753
- 1,812
Tittle:Maonyesho Nane Nane kanda ya kaskazini yadoda
Wadau wa Nane Nane kanda ya Kaskazini walalamikia hatua ya mkuu wa mkoa wa Arusha kuingilia na kutoa maelekezo ya kuwa umiza washiriki na wafanyabiashara wenyeji wanaofanyabiashara kwenye uwanja huo siku zote.
Moja ya shubiri waliyokutana nayo ni kuwataka wenye manyumba ya kupangisha kuondoka mara moja wakati waliuziwa viwanja hivyo na TASSO KANDA miaka 15 uliyopita,
makanisa na misikiti wapangaji nao wametakiwa kuondoka,Kubwa zaidi ni kuwataka maduka ambayo muda wote huwa yanafanya biashara siku zote hapo kutakiwa kulipa tshs 200,000 kwa siku 8 ,wafanyabiashara hao wamedai kuwa wao ni wapangaji na wanalipa kodi ya pango TASSO ,wana leseni ,wamelip TRA,leseni za vileo,servises levy,n.k kulipa shs 200000 kwa siku 8 tu nionevu wa mkuu wa mkoa na wivu wa kibiashara.Ajabu ni kuwa pesa hizo inalipwa kwa risiti ya kawaida kwenye ofisi ya,mkuu wa mkoa badala ya mfumo wa.kieletroniki unaotumika na TASSO magetini uliofungwa na NMB,hofu ya uwizi ni mkubwa kwani pesa zinalipwa kwa namna tofauti😛ia wenye mabanda ya voda ,tigo,Airtel nk na wenye viburudisho kunyimwa kupiga mziki hivyo kukosa mvuto uliozooleka.
Pia Halmashauri kuleta vitu vilivyozoeleka bila ubunifu wowote hii yote ni amri bila kuleta tecnologia inayoatakiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau wa Nane Nane kanda ya Kaskazini walalamikia hatua ya mkuu wa mkoa wa Arusha kuingilia na kutoa maelekezo ya kuwa umiza washiriki na wafanyabiashara wenyeji wanaofanyabiashara kwenye uwanja huo siku zote.
Moja ya shubiri waliyokutana nayo ni kuwataka wenye manyumba ya kupangisha kuondoka mara moja wakati waliuziwa viwanja hivyo na TASSO KANDA miaka 15 uliyopita,
makanisa na misikiti wapangaji nao wametakiwa kuondoka,Kubwa zaidi ni kuwataka maduka ambayo muda wote huwa yanafanya biashara siku zote hapo kutakiwa kulipa tshs 200,000 kwa siku 8 ,wafanyabiashara hao wamedai kuwa wao ni wapangaji na wanalipa kodi ya pango TASSO ,wana leseni ,wamelip TRA,leseni za vileo,servises levy,n.k kulipa shs 200000 kwa siku 8 tu nionevu wa mkuu wa mkoa na wivu wa kibiashara.Ajabu ni kuwa pesa hizo inalipwa kwa risiti ya kawaida kwenye ofisi ya,mkuu wa mkoa badala ya mfumo wa.kieletroniki unaotumika na TASSO magetini uliofungwa na NMB,hofu ya uwizi ni mkubwa kwani pesa zinalipwa kwa namna tofauti😛ia wenye mabanda ya voda ,tigo,Airtel nk na wenye viburudisho kunyimwa kupiga mziki hivyo kukosa mvuto uliozooleka.
Pia Halmashauri kuleta vitu vilivyozoeleka bila ubunifu wowote hii yote ni amri bila kuleta tecnologia inayoatakiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app