24 May 2021Nilistaajabu kuona Profesa katengeneza jiko la kutumia mwanga wa jua kupikia supu. Hivi ile dawa Yao ya kufukiza bado wanayo?
Sanamu limetulia pembezoni kwa Prof analielezea jinsi alivyochomelea hayo mabati.Hilo sanamu la bati linatembea au lipo tuu km la fundi maiko
Usikute Hilo Sanamu la Chuma ndio wanataka kwenda nalo Mwezini.Hhahaha! Utafiti ni pesa, ukifuatilia bajeti inayotengwa na nchi kwa ajili ya research utalia. Si ajabu vyuo vikuu vinakuja na innovation za sanamu za mabati, siwezi kushangaa. Hebu fikiria kufanya innovation ya chombo cha kwenda hapo mwezini, kwa pesa ipi?
Hatuko serious kabisa, hivi karibuni British Airways walitoa ndege kwa chuo kikuu nafikiri cha Oxford ili kuendeleza utafiti kwenye teknolojia za ndege, najiuliza kama pale idara ya engineering UDSM wanafanya innovations zozote au hata kuendeleza teknolojia kwenye vyombo vya usafiri kama magari na ndege, na vyombo vya kwenda anga za juu, tusije kutembelea tukakuta guta lipo kwenye display.Usikute Hilo Sanamu la Chuma ndio wanataka kwenda nalo Mwezini
Engineer anapigania kubuni mashine ya kufyatulia tofali.Hatuko serious kabisa, hivi karibuni British Airways walitoa ndege kwa chuo kikuu nafikiri cha Oxford ili kuendeleza utafiti kwenye teknolojia za ndege, najiuliza kama pale idara ya engineering UDSM wanafanya innovations zozote au hata kuendeleza teknolojia kwenye vyombo vya usafiri kama magari na ndege, na vyombo vya kwenda anga za juu, tusije kutembelea tukakuta guta lipo kwenye display.
πππUsikute Hilo Sanamu la Chuma ndio wanataka kwenda nalo Mwezini
Ndo maana Bilionea akajionea ya nn kujichoresha?Wiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani. Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe. Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza? Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?
View attachment 1801671