Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ubunifu wao huwa wanaenda wanachukua mashine za Wachina wanaisa then wanaaanza kuchomelea yao,Engineer anapigania kubuni mashine ya kufyatulia tofali
Kwa akili zipi? Choni watu wana discus Siasa masaa 24, wataweza?Hatuko serious kabisa, hivi karibuni British Airways walitoa ndege kwa chuo kikuu nafikiri cha Oxford ili kuendeleza utafiti kwenye teknolojia za ndege, najiuliza kama pale idara ya engineering UDSM wanafanya innovations zozote au hata kuendeleza teknolojia kwenye vyombo vya usafiri kama magari na ndege, na vyombo vya kwenda anga za juu........tusije kutembelea tukakuta guta lipo kwenye display....
Hayo VETA wanafanya sana hata mtaani mbona wanachomelea sana? Hapo hakuna ubunifu ni fullu usanii mtupu,Wiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani. Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe. Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza? Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?
View attachment 1801671
Kwa huo Upuuzi uliouona hapo UDSM ndiyo unategemea Tanzania kuja kuwa na Think Tanks wa uhakika wa kuiletea Maendeleo kama Mataifa mengine yaliyotuacha hapa Barani Afrika na hata huko Ulaya na Marekani?Wiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani. Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe. Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza? Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?
View attachment 1801671
Teknolojia huibiwa,huboreshwa.Yaani ubunifu wao huwa wanaenda wanachukua mashine za Wachina wanaisa then wanaaanza kuchomelea yao,
Ndo elimu yetu inaruhusu hayoKwa huo Upuuzi uliouona hapo UDSM ndiyo unategemea Tanzania kuja kuwa na Think Tanks wa uhakika wa kuiletea Maendeleo kama Mataifa mengine yaliyotuacha hapa Barani Afrika na hata huko Ulaya na Marekani?
Wakati machali pale mwenge opp na ifatha wanazifyatua za kutosha wanaziuzaEngineer anapigania kubuni mashine ya kufyatulia tofali
Safari bado ni ndefu mnoKwa huo Upuuzi uliouona hapo UDSM ndiyo unategemea Tanzania kuja kuwa na Think Tanks wa uhakika wa kuiletea Maendeleo kama Mataifa mengine yaliyotuacha hapa Barani Afrika na hata huko Ulaya na Marekani?
Huo ni ugunduzi au Ukunduzi??? .. chuo changu mmenidhalilisha sana.. sanamu la chuma???
Alielibuni kasema apewe Moyo wa Kayafa kutoka Chato litatembea.Hilo sanamu la bati linatembea au lipo tuu km la fundi maiko
Kila watakachogusa mzugu ameshakifanya..kilichobaki ni kutoa uchawi wetu hadharani tuonyeshe ubunifu kupitia huko.Wangetengeneza hata sensor ya kupiga Alam mwizi anapokaribia dirishan,.au ukuta..Mana wez Sasa hv wamekuwa kero