Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubunifu upo wapi?Wamewasikia overView attachment 2591353
Chuma hii itauzwa wapi?Wamewasikia overView attachment 2591353
BonyokwaChuma hii itauzwa wapi?
Hilo sanamu la mabàti linatabiri?Wiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani.
Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe.
Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza?
Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?
View attachment 1801671
Yap. Linatabiri matokeo ya Simba-YangaHilo sanamu la mabàti linatabiri?
Karibu TEKUMngesema niende na bidhaa zangu duuuView attachment 1802542View attachment 1802544View attachment 1802545
Laba kuna kuna kitu kizuri zaid kinakuja Hebu tusubiri.
Tanzania ubunifu bado sana aisee, hivi ni nani anayewapa hawa watu vibali vya kujidhalilisha namna hii?Wiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani.
Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe.
Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza?
Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?
View attachment 1801671
24 May 2021
Dar es Salaam, Tanzania
MAPEMA LEO:WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA MABANDA NA KUFUNGUA MAONESHO YA 6 YA UBUNIFU NA UTAFITI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
Source : mlimani tv UDSM
Hapo mlimani usikute wanapiga wanzukiWiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani.
Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe.
Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza?
Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?
View attachment 1801671
Unajua tatizo....Hatuko serious kabisa, hivi karibuni British Airways walitoa ndege kwa chuo kikuu nafikiri cha Oxford ili kuendeleza utafiti kwenye teknolojia za ndege, najiuliza kama pale idara ya engineering UDSM wanafanya innovations zozote au hata kuendeleza teknolojia kwenye vyombo vya usafiri kama magari na ndege, na vyombo vya kwenda anga za juu, tusije kutembelea tukakuta guta lipo kwenye display.